habari
waungwana natafuta tyre za goodyear size 265/50r20 kwa maana ya kwamba nahitaji kununua. naomba kujua zinapatikana wapi na shiling ngapi natumaini nitapata msaada hapa
mbona sijawahi sikia mtu anaongea ki-iringa au kimorogoro huwa nasikia anaongea kibena,kihehe au kinyakyusa ila huwa naskia mtu anaongea kipemba
halafu kumbukumbu zangu zinaonesha kipemba ndio kilisanifiwa na kutuletea kiswahili hichi tukitumiacho kama lugha ya taifa
hivi hii haitoshi kuamini...
[QUOTE=SIRLIMU IBWE;Hapa sina kuchangia. Hili swala ni la kiiman zaid.
sio imani kiviile ni komoni sensi tu,wale washkaji mabwanyenye watapungua unene ili tuwe nao na miili inayoendana angalau?
kwa wanao amini;
ivi mbinguni tutapewa miili na rangi mpya let say watu wote tuwe wa blue,au wote tuwe black kusiwe na masuala ya wazungu na waafrika, waarabu n.k
wale washkaji kina emolo watarefuka?
Ivi kweli tutakuwa level sawa na kina ibrahim na nuhu wa kwenye vitabu vya dini?
hakutakuwa...
ivyo tu!mi kila mara najiuliza aliyegundua pilau,ilikuwaje akatafuta bizari,vitunguu saum,mdalasini nakadharika akamix kwenye mchele akafanya mambo ya jiko ikatokea kitu PILAU!afu alijuaje ukimwagia na kachumbari ndo inazidi kunoga
wakuu wa tech nina mtumba wa esprimo mobile d9500 nimegundua kuna sehemu ya kupachika sim card nimejaribu kugoogle nijue namna ya kutumia naona nyota tu.nimeonelea si vibaya nikiomba msaada kwenu,thanks in advance
Asha d, madona wa kwenye 4mins waliyofanya na timberlake naye anaingia kwenye list kama sio vimpaire basi ye ni kama wale watu wa kwenye series ya the event.
Mkuu bajabiri ili nisikupoteze maana ya vimpire hapa usiangalie kamusi, angalia muvi kama the twilight saga au vimpire diaries,utamwelewa vimpire p.diddy.
Yo bobsambeke,ukimsoma diddy kwenye hizo lines utajua anajua kabisa anatakiwa awe grown up sasa,lakini ye bado na haitakuja tokea na hizo ni...
Huyu jamaa ukimwangalia toka kwenye video ya ''hate me now'' yuko na nas escoba hadi sasa na album yake ''last train to paris'' yuko vilevile,ki-vimpire vimpire hellena angemwuliza,'for how long he has been 22yrs old' guys did you notice this,p.didy is not growing old!
kitu only the strong a.k.a palanawe
the big boss- bruce lee
hard target, van dame,
tc 2000- bill blanks,
red scopion-doff,
snake in the eagle shadow,snake in the monkey shadow na mr nice guy na police story-jackie chan
american shaulin....
mi sina ubaya nao walipoanza walikuwa very promising,walifikia mapema sana maendeleo waliyofikia lakini kwa mshangao wangu gafla wamesimama hapo hapo walipo hawaendi mbele wala popote.yalikuwa ni matumaini yangu kwa hii technology iliyorahisishwa wangekuwa washapiga hatua kubwa!kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.