JUKWAA HURU LA WAZALENDO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
VIONGOZI WATEULE TUKACHAPE KAZI KWELI KWELI
Ndugu waandishi wa habari salaam!
Poleni na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa Taifa.
Leo Jukwaa Huru La Wazalendo Tanzania, tumewaiteni hapa kueleza na kupongeza jitihada za mh John...
JUKWAA HURU LA WAZALENDO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WABUNGE WAONESHE UZALENDO KWA KUCHANGIA UNUNUZI WA MADAWATI, KULAANI JESHI LA POLISI DODOMA
Ndugu wanahabari;
Tumewaita hapa kwa nia ya kuwaomba mtufikishie hoja zetu mbili juu ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
JUKWAA HURU LA WAZALENDO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
VIONGOZI WAACHE SIASA, WANANCHI WANATAKA MAENDELEO
Ndugu Waandishi wa habari salaam!
Poleni na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa Taifa.
Leo Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania, tumewaiteni hapa kutoa dukuduku zetu kwa mara...
Ndugu Wazalendo, Salaam!!
Kesho 16/05/2016 saa 1:30 asubuhi ndugu MTELA MWAMPAMBA katibu wa Jukwaa Huru la Wazalendo atakuwa live ( Moja kwa moja) kupitia kipindi cha Morning Trumpet ndani ya Azam Two, Kujadili Muswada Wa Sheria Ya Kutenganisha Biashara na Uongozi Wa Umma.
Karibuni...
Katika mwanzo wa mwaka 2013 niliandika makala maarufu yenye kichwa cha habari "Ninavyomfahamu Zitto Zubeir Kabwe - Kilio cha Usaliti (sehemu ya tatu) https://groups.google.com/forum/#!msg/mabadilikotanzania/mfpXgJn6b3o/XvYn83FRLe4J, thread hii labda imeingia katika rekodi ya thread zilizokaa kwa...
Katika kile kilichoonekana kujifuta machozi, vijana wa Chadema wakiongozwa na 4U movement wamefanya party kubwa jioni hii ya leo eneo la Kawe wakijifariji baada ya mapambano makali dhidi ya Chama dume CCM, ambacho kimewatoa jasho la meno.
Katika tukio hilo, jambo la Ajabu lililoacha gumzo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.