Ratiba ya uchaguzi sio uchaguzi..naona hili kama ni technic ya kuwafunga mdomo upinzani ambao umetilia shaka uchagaguzi kufanyika mwaka huu.
Hoja ya Chadema ni maandalizi hafifu yanayotutia mashaka uchaguzi kufanyika mwaka huu. Ni mahesabu tu ndugu zangu. Mwaka 2010. Zoezi la kuandiksha wapiga...
Human lolote umeona baada ya uchambuzi Wa Edson Kamkara Tanzania daima j5 anampa nafasi huyu jamaa ndio maana unaleta uchonganishi wako...kama kweli we no mwanachadema sema no wapi au katika tukio gani alikosa msimamo? nilini alipokea rushwa au alikaribia kupokea rushwa? Vinginevyo we no mmbeya...
Chadema haikujengwa kwa siku moja na haitauawa kwa siku moja kama ccm wanavyodhani. Pia ccm wafahamu Kuwait asilimia kubwa ya wanachama na wafuasi Wa cdm wanajitambua name ni wasomi ambao huwezi kubadili mapenzi na mtazamo wao kwa siasa nyepesi za maji taka.
Picha hizo in za kweli kabisa hapo no segerea mwisho shule ya migombani...Leo wamepiga mziki kuanzia SAA 1 asubuhi hakuna watu waliokuwepo zaidi ya wanawake wachache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.