For sake of advise to World vision recruitment team, the same procedure you use to inform us about these opportunity..Please use the way to inform us again the number of people and the name shortlisted.....
Dogo huko too ambitious jaribu kuwa realistic....Kiufupi huna profession yoyote ya kuajiliwa na NGO's,. kwa kukushauri may be kama wewe umesomea ujasiliamari nazan sasa ni wakat wakufunguka, jipange,..unaweza ukawa na pesa kidogo , then angalia biashara gan ufanye...by using entreprenuership...
Kwel m2 mzima utakuwa umepitia madrasa au sunday school...au mzee njaa tu za kutafuta kazi hadi unarejea vitabu vya Mungu..aaah jokes, kila la kheri mzee hope watakushort list and finally employed...Cheers
Kwenye C.V weka majina ma3 ya wadhamin wako yenye namba zao za cm na email adress, pia weka historia yako ya salario kwa kila kazi uliyopitia kabla ya kuomba hii...Cover letter elezea ujuzi au elimu yako itaisaidia kampuni hiyo nini..utaleta changes gani kwenye kampuni than b4 ..half mwishon mwa...
Wewe ----- nini..aaaaah.,jokes! Issue ni kwamba range ni shillingi ngapi? kwahiyo post..chek kwenye salary scale zenu hapo..!!Nilipataga post fulani usahili ulikuwa pouwa tukashindwa kukubaliana salario..but nikabushiit ikawa imekula kwangu kutokana na maandalizi kabla ya...
Aaaahhh Mdau umenikumbusha mbali saaana enzi za mwalimu kipindi hiko man mayai yanauzwa kwenye galoni..so kwa mtazamo wangu wa harakaharaka naona kampuni hiko pouwaaa..so mdau kwanini siasa unazan..?? Cheers
Mdau naona uko jikoni, Ni kweli email inafanya kazi. Na mimi njimeshaaply post ya Livelihood Manager-Kigoma/Tanga. Nilikuwa nauliza kwa post hiyo salary ina range kiasi gani.?? au ni makubaliano..
Acha ubwege wewe..yaani bado una mawazo mgando kwa elimu yako au ulichakachua aahhhh..jokes:crazy:..Maisha unaweza ukaanzia popote ..Vitu common sense vya kuzingatia kwa kukusaidia ni..1-urahisi wa kupata huduma za kijamii kama hosptali, shule, sokoni, nyumba, roads, nyumba za ibada nk...
Ufupi ni relative term inategemea unamlinganisha mtu with respect to whom ..then hapo ndo utaconclude that Juma or anybody is shorter as compared to Law or anybody. Coming to you are topic si kweli kwasababu matatizo ya mtu ni mwenyewe binafsi na mara nyingi yanahusishwa zaidi na kutojiamini na...
Sababu tano za mwajiriwa wa Serikali kutafuta sehemu nyingine
1-Ubinafsi wa mabosi, Bosi anakula na wakubwa wenzie watu wa chini hawapati hata punje
2-Poor communications- Uhusiano mbovu kati ya mwajiri na mwajiriwa. Vikundi vichache vinapata taarifa kuliko wengine, wale ambao wanachelewa kupata...
Sasa wewe junior member..vp baada ya kufanya usahili ikawaje..?? feedback walisema watakupa lini..manake hata mimi nafukuzia sema nilikuwa nje na internet ilikuwa low so ckuweza kufanya telephon interview....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.