Come 2030 and the Mtwara Port would be handling some 28 million tonnes of traffic, thanks largely to the gas boom in Mtwara and Lindi regions.
A huge leap indeed for the Port located 580 kilometres Southward of Dar es Salaam whose current capacity stands at a mere 400,000 metric tonnes...
Wengi tumekua wepesi wa kulaumu hasa linapokuja swala la kutokuitwa kwenye usaili ilihali unaamini una vigezo vyote na wakati mwingine tumekua tukisema watu fulani wanapendelewa ila unapolaumu, je ni kweli ulifuata maelekezo yote uliyotakiwa kuyafuata kabla ya kutuma maombi ya kazi? au unalaumu...
Kitambo sana sijatia magulu humu ndani mara nyingi Himidini, mwallu na Mphamvu mmeniita ila sikuitika si kwamba nimeondoka hapana ila siwafichi nilitetereka kidogo sikumaliza mwaka vizuri kiasi hata nguvu za kuingia hapa ndani sikua nazo kabisa...
Ashukuriwe Mungu ambaye siku zote hatuachi...
Kitambo kimepita sijatia magulu humu ndani kwa wenyeji na wageni pokeeni salamu zangu..
Nimewamiss sana ila...nilikuwa busy kwenye kampeni ya kutunisha mfuko wangu kama mjuavyo jina linasadifu haina haja ya kujielezea kwamba mimi ni nani..
Salamu ziwafikie Mphamvuwangu wa moyo, Arushaone...
Huwa nakosea katika maisha yangu siku hadi siku..
Katika kauli zangu kuna uongo
nimeleta aibu machoni pako
nisamehe Mungu mwenye rehema
Hata na hizi pesa nilizonazo ila kuna nyakati nachoka
kuna nyakati nashindwa
Mimi ni mtu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.