Jenerali Kagame ndie aina ya kiongozi anayehitajika hapa kwetu.......sheria ziko wazi kuhusu uchafuzi wa mazingira ikiwa inahusisha na kelele za mihadhara na usumbufu kwa raia...lakini kuna serikali na hakuna chochote kinachukuliwa dhidi ya uvunjifu huu wa sheria,msikiti wa mtambani ni moja ya...
Waraka unaelezea sifa za kiongozi,na kwa kuwa imani za dini husaidia watu kuwa na hofu ya Mungu itasaidia kupata watu wenye busara kutuongoza.Vyama vya siasa CCM ikiwa ni moja ya vyama vimekwenda nje ya utaratibu wa kupata viongozi,zamani afadhali sifa za kiongozi zilikuwa zikitazamwa ili kupata...
Hili ni tatizo kwa viongozi wa afrika,Mu7 umaarufu wake unapungua kwa wananchi wa uganda,na kwa kung'ang'ania kukaa madarakani pamoja na mazuri aliyofanya kwa taifa la uganda si jambo jema.Kutoweka mfumo mzuri wa kupata viongozi wazuri baada yake si jambo jema.Akidondoka muda wowote itapelekea...
Siku 45 ni chache kumpa huyu mama nafasi ya kutayarisha uchaguzi....ni dalili kuwa mtoto wa hayati bongo atapewa ukuu wa nchi......ndio afrika hii....ukipata uongozi unataka utawale kifalme hadi ufe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.