Huyo ni GABOON VIPER, ni kundi la BITIS na sifa yao ni kuzaa.
Na huwa kwa pea (70-120/2hds)
Huyo ni BITIS GABONICA, pia kuna BITIS ERIETANS, BITIS NASCONIS na wengine wengi.
Huyo ni GABOON VIPER, ni kundi la BITIS na sifa yao ni kuzaa.
Na huwa kwa pea (70-120/2hds)
Huyo ni BITIS GABONICA, pia kuna BITIS ERIETANS, BITIS NASCONIS na wengine wengi.
Inafurahisha sana kuona kwamba kuna watu wanakukumbuka kwa mazuri.
I believe JF ni familia moja so ni nzuri kuulizana juu ya wenzetu waliopotea hapa mjengoni.
Mkuu Mr Q mimi nipo naendelea na ujenzi wa taifa.
Mh mungu akupe moyo wa upendo daima.
KUMBE MCHUMBA WANGU ANA UKIMWI?!!!
Nipo ndani ya bus la Mtei nikielekea jijini Arusha,pembeni kuna binti mrembo sana shombe shombe wa Kizungu,baada ya kupiga nae story kwa muda kidogo nikabaini ni Msauzi Africa.Ni binti mrembo zaidi ya mrembo, nywele zake ndefu kazitelekeza mgongoni...
Ni kweli mkuu, ndio maana mie nikaongelea wa Lusaka.
Nilishakamatwa mara 2 hapo jamaa hawakutaka somo, hasa baada ya kujua mm mbongo.
1.Nilikua napiga mswaki stend.
2.Nilikua natoka S.Africa kununua gari, kwa bahati mbaya taa za break zikaungua, jamaa tulienda kumalizana kituoni tena kwa...
Yes stend yao ipo ktkt kama kisutu. Na hiyo Zanaco ,(TANESCO) yao ndio jengo lefu kupita yote pale town, sijui kwa sasa.
But pia Barabara yao moja Kubwa imepita ktkt ya stend.
But ni jiji ambalo lilitakiwa liwe zaidi ya Dar kutokana na muingiliano wa watu.
Nadhani kwasababu ni kama njia panda.
Becouse magari yote yanayotoka nje na yanatumia Lusaka ni lazima yalale hapo au japo yakae kwa masaa japo 6.
Kwa mfano.
Ukitoka Dar kwa bus linalokwenda Harare utafika tunduma jioni. Then asbh saa 3 bus litakuwa, kisha mtagonga pass na kuondoka saa7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.