Pascal , CCM ni CCM tu hata awe vipi , zaidi ya miaka 60 wako madarakani hamna kitu chochote cha maana walichokifanyia nchi zaidi ya mipasho na majisifu na kuirudisha nyuma nchi kimaendeleo.
Leo humjui aliyesoma wala asiyesoma . watu wako mbioni kila mmoja analia njaa , labda wewe unayetupiwa...
Itakuwa umeelewa , Wazanzibari hata wawekewe jiwe basi watalichagua jiwe na si CCM , kila mtu anaelewa , sijui kama ulikuwa umezaliwa wakati wa kura ya maruhani ??
Mwarabu ndiye anayekutawaleni kwa akili zenu mbovu, Usijaribu kudanganya kama vile uko kanisani kwenu
usitukane watu humu , Hakuna mnyamwezi alifanywa mtumwa. hao wanyamwezi walikuwa na watumwa wao , soma historia
Niwaulize nani na ni jamaa yangu , Nyie watu mumezidi . Nyinyi wakristo wa Tanganyika mnaumwa sana na Zanzibar , kila wakati mnaweweseka Zanzibar mpaka kule Kagame anawapiku kiuchumi , kwa muda mfupi tu nchi imefika mbali , nyinyi bado na Zanzibar tu .
Unafikiri kila mtu mweusi ni mbantu au ni...
Ndivyo baba yenu wa Taifa alivyopiga mahesabu yake wakati akiivamia Zanzibar , Liliobaki ni mtuwache tuwe huru au tuendelee na hesabu za Laanatullahi Nyerere
Baba yake hatokei Yemen hao waliokudanganya sijui ni akina nani . yeye ni Mpemba wa Mkoani . Salim hana asili yoyote ya ushihirini.
Waliomuuliza ni wavamizi kutoka Tanganyika waliosaidiwa na Mvamizi mwenzao Laanatullahi Nyerere kukaa madarakani
la kuchunguzwa ni hili
• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
• Mke wa John P. Magufuli, Janeth Magufuli
• Mume wa Samia S. Hassan, Hafidh Ameir
Kwa...
JK apumzike , yaani family yote imeingia kwenye siasa kwa tamaa ya Fisi ?? Yaani kwa mishahara hii hapumziki ??
• Mke wa Mwl, Julius K. Nyerere, Maria Nyerere.
• Wake wa Ali H. Mwinyi, Sitti na Khadija Mwinyi.
• Mke wa Benjamin W. Mkapa, Anna Mkapa
• Mke wa Jakaya M. Kikwete, Salma Kikwete
•...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.