Kabla hujaendelea Katiba ijayo inataka angalau waziri awe na degree moja sasa hiyo degree Lema anayo? Mwenye tafadhali kabla hatujaendelea na mjadala!!
Nina Imani Pr Lipumba atajitokeza kuzungumzia hili suala maana ni suala zito sana either kwa kukanusha ama kukubali.
baada ya hapo sasa
1. kama atakanusha ni wakati wa Tanzania daima kuthibitisha kile walichokiandika kama ni cha kweli maana wamesema wanayo video
2.kama atajitokeza na...
serikali na mashirika ya dini wakae chini wakubaliane kusitisha ruzuku kwa taasisi zote za dini then ukienda kutibiwa uende na na cheti cha cha ubatizo full stop
chezea useremala wa taifa wewe kaogopa kung'olewa meno hataki kuwa cardinali chezea kung'olewa kucha wewe huyu si ndo january makamba alimshikia mtutu?
Chezea kizungu...Mama mmoja wa kijita alienda hotel ya watalii, kwa mara ya kwanza. Kwa pozi akaketi meza 1 na wazungu watatu. Mhudumu akaja kuwauliza wanatumia nn? Mzungu wa kwanza akasema "JOHN WALKER SINGLE" Wa pili "CAPTAIN MORGAN SINGLE" wa tatu "JACKIE DANIEL SINGLE". Mama wa kijita...
waifu kaenda kikao cha harusi,pombe zikamnogea kuja kushituka saa 6 usiku.akarudi kwake kichwani anawaza ataingiaje kwake?
MKE:hodi mume wangu
MUME:unaniona mi bushoke sana,sifungui,rudi huko ulikokua ukalale MKE:mi ckuja kulala nimekuja kuchukua condom zipo kwenye pochi yangu juu ya kabati...
alijua akimshitaki sugu atajitafutia matatizo maana support ambayo angeipata sugu kisheria ni kubwa inatetemesha hata serikali yenyewe coz sugu angepata sapoti ya mawakili ambao hata majaji wenyewe wanawaogopa mfano Lissu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.