Mh..Magufuli siku ukienda shirika la reli,ulizia kitengo cha mabehewa kule kuna ufisadi wa kitosha mfano mteja akiihitaji behewa huambiwa mabehewa mabovu au yana oda.hiyo ni matakwa ya wafa nyabiashara wa maroli ambao huwapa pesa wahusika ili hiyo tenda iende kwenye maroli
NIna mke lakini nina miezi kadhaa sijatakuna naye kimwili,kisa ni majukumu ya kimaisha,mke wngu ni fundi nguo,mm ni shopkeeper ni mara chache nalala nyumbani,lakini mke wamgu hua amechoka,kumbuka vipato vyetu ndio huendesha maisha yetu na watoto wetu 3.hivyo naogopa kumuachisha..kukosa kwngu...
Habari ndugu zangu.jamani naomba msaada.ni hivi nina mtoto wa miaka 12, tatizo lake ni kupatwa na kizunguzungu mara kwa mara .damu anayo yakutosha tu.
Wajuzi wa mambo naomboni mnitajie japo dawa ili niweze kumaliza hilo tatiza la mwanangu.
ndugu yangu pole huko peke yako.tuko wengi 2..labda nikuulize mkeo anafanya kazi gani? Maana kuna kazi zingine zinawachosha wanawake mfano mafundi nguo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.