Tatizo lako kubwa ni kuhisi kwamba wafanyakazi wa serikali wanafaidi. Bila kujua hakuna mfanyabiashara anayelipa VAT kutoka mfukoni mwake, bali mfanyabiashara anaiongeza kwenye bei ya bidhaa hivyo mfanyakazi huyo huyo unayehisi anafaidi ndio anarudi kuilipa pale anaponunua bidhaa.
Aiseee kazi ipo.
Nitajaribu kukuelewesha kwa lugha rahisi kama ni muelewa basi utaelewa
Majukumu ya serikali kwa mifuko ya hifadhi ya jamii ni mawili
1. Kulipa michango yake - 15% kwa PSSSF
2. Kuhakikisha michango ya wanachama inatumika kulingana na malengo husika ili wanachama waweze kupata...
Liverpool VPN Hizi mutual fund ni za watu wote kuanzia matajiri mpaka masikini mf Bodaboda kama ulivyowatolea mfano mara kadhaa
Twende taratibu
Unategemea dereva bodaboda anapaswa kuendesha bodaboda kwa miaka mangapi ili awe tajiri?
Liverpool VPN huwa ninakufuatilia sana ila kwenye huu mjadala umeniangusha sana. Bahati mbaya sana umetaja kiwango chako chako cha elimu na field yako. Aisee umejidhalilisha sana. Mbaya zaidi unaelekezwa hautaki kutulia na kufuatilia unachokosolewa bali unabisha tu bila hoja.
Kama uko tayari...
Hapo wametukataa kwa mlango wa nyuma.
Kiukweli hata Mimi binafsi naona 50400 kwa mwaka ni ndogo sana. Ila ilibidi kama wanaona hailipi waongeze kiasi cha mchango ila siyo kusitisha huduma na kuleta ujanja ujanja wa kupitia mashuleni
Waziri Ummy Mwalimu anatolewa chambo/kafara kwenye hili. Maamuzi ya Ummy siyo yake binafsi bali haya mambo yalishajadiliwa kwenye ngazi ya Baraza la mawaziri ambalo raisi ni mwenyekiti.
Unataka kutuaminisha hz sarakasi kati ya Bima na hospital Raisi hazijui wala hajazisikia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.