Hakikisha gari halilali nje, namaanisha isilale sehemu ya wazi Ili kuepuka umande! Umande ndio chanzo Cha gari kuoza! Nunua car shed au weka hata kivuli Cha mabati.
Hakimisha gari halilali nje, namaanisha isilale sehemu ya wazi Ili kuepuka umande! Umande ndio chanzo Cha gari kuoza! Nunua car shed au weka hata kivuli Cha mabati.
Nimesoma hii mada nimegundua watanzania wengi huwa tunaenda Shule kupoteza muda tu na sio kuelewa! Kiukweli mtu yeyote aliyemaliza form four na akawa haelewi chochote kuhusu suala hili, huyo hakuelewa chochote huko ShuleniI labda kama alikumbia Masomo yo sayansi!.. Ukifika form four topic ya...
Chukua probox au Succeed!.. hizi ni gari Moja tu, zimefanana Kila kitu kasoro majina tu kama runx na allex!.. Ukitaka kuinunua uwe makini maana Kuna probox wagon au Succeed wagon na probox van au Succeed van. Hizi van siti yake ya katikati ni Kigoda na siti Haina viegemeo vya kichwa wakati Wagon...
Jamani Newcastle yupo huko anabakwa na Brighton... Yule jamaa aliyehama Arsenal kwenda newcastle Mimi namchora tu!... Kutokuwa na msimamo kwenye maisha ni jambo BAYA sana
Unatakiwa umwambie Arteta Ili ajirekebishe!..sio kutuambia sisi!.. hapa unatupigia tu kelele maana hatutakusaidia Kwa lolote!... Ki ukweli tunajifurahisha tu hapa... Edu na Arteta hawajui kama Huku Tanzania Kuna watu hawaridhiki... Nakupongeza kwa kuchangia timu Kwa kununua jezi!.. Kuna watu...
Huyu dogo akiwa kwenye ubora wake ni mtu na nusu!.. majeruhi yamemridisha nyuma sana!.. mwaka huu Kuna watu atawakalisha benchi pale Arsenal. Huyu dogo ni mfungaji hatari kabisa!..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.