Nimesoma mawazo mengi sana kuhusu huu mjadala wa kuhama vyama kwa wawakilishi wetu hawa,kufanya mambo mepesi,napenda kuona kwa pamoja tukitaka mabadiliko na hili liwe mojawapo,sharia iwe atakaehama chama nafasi atakayoiacha iwe mikononi mwa chama kinachoshikilia hicho kiti na wao wamteue...
Nauza godown Lipo katika hali nzuri sana
Lina fence na ukuta mrefu kwa ulinzi wa mali zako.Lipo Dar es salaam ,sinza umbali wa 500m kutoka shekilango road
Maji na umeme vipo
700sqm jumla ya eneo
Lina sehemu ya kupaki wastani wa gari 3
Kina hati na document muhimu
Bei 200mil maongezi yapo
Call...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.