pole sana mdogo wangu,
Kwa hali ilivyo saiv hizo ajira walizotenga kwa walimu ni kama elfu 10 kama sikosei. Kama ni kweli bado ni chache sana kulingana na demand iliyopo mtaani wahitimu wa vyuo vikuu wa kada tofauti hususani walimu ni malaki. Lakini pia hizo nafasi elfu 10 ni kwa walimu wa level...
Mtoa mada unayo hoja nzuri kabisa. Kimsingi haukatai kulipa ada kwa mwanao kama angekuwepo shuleni na anapata huduma ya masomo chakula usafiri nk...,Wanaosema ulipe hiyo ada saiv ni kwa ajili ya huduma gani? ..kwa sababu watotto saiv wako nyumbani wanaingia mwezi wa pili na kwa upepo...
Miye sina makuu, nisingependa kudream ndoto ambayo kimsingi ni unrealistic kuja kui accomplish...au itachukua miaka 50 kuikamilisha. Hapana
Dream yangu and of course is going to take off very soon ni BMW X3 ya mwaka 2005 siyo mbaya.
Sababu
1. Limekaa kiume zaidi (kwa mtazamo wangu) kuliko hata...
Yeah. Kuazimana ndinga hapa town ukiwa mzee wa connection ni kwa sana. Unakuta mshkaji Leo anasukuma Vw toureg, kesho kaji crown, siku nyingine unapishana anapush BM na Mercedes.
Ukifutilia hapo kwenye hiyo list unakuta sana sana ni ndinga moja tu ya kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.