Kwanini hapa kwetu Ifakara kukatika umeme ni kila siku hasa tunapo anza kusikiliza taarifa ya saa 2 usiku ? jambo hili ni gumu kiasi gani kubadilika ? mbona imekuwa ni kawaida sasa ? hamuoni kama mnawakera watumiaji wa umeme ?
Mimi ninashauri yaainishwe maneno ya kejeli na matusi ni yepi maana kunawatu watakamatwa ilihali hawakuwa na lengo la kutukana bali wamekosa tafsiri ya matusi kejeli au uchochezi
shamba linauzwa liko katika kijiji cha Msowero, kata ya Msowero, tarafa ya Magole, wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro.
1. ukubwa wa shamba ni Ekari 47.
2. Shamba liko kando kando ya mto MSOWERO
3. Shamba lina barabara inayo unganisha na baraba ya lami kutoka Kilosa mpaka Dumila
4. shamba...
Amini usiamini hali ya maisha ni ngumu mno usishangae kuona hiyo sh. 2000 ilikuwa budget ya siku na mama alichanganyikiwa akili ikahama zikabaki hisia tu
Wapendwa watumiaji wa mtandao huu ninaomba kama kuna mtu anaye weza kunitengenezea website au anamfahamu mtu mwenye ujuzi huu tuwasiliane kwa E-mail davidkambanyuma@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.