Halotel nawaonea huruma. Wamekosa kitu kinaitwa market entry strategy. Wamekuja as if walikuwepo tangu zamani. Kwa kifupi wamevamia msitu na kiwembe mkononi.
Nikiwa mtaalamu wa masoko nilitegemea wafanye yafuatayo:
1. Wangeanza na marketing/consumer survey ili wajue ni nini watumiaji wa simu...
Wakati mlipokuwa mnakatika viuno huku mkiimba mtaisoma namba mlifikiri ni lowassa na mbowe ndio wangeisoma namba? Pambafu! Kama hela huna panda farasi. Wakati wa kampeni mijinga inakata viuno kama misenge halafu ccm wakifanya yao yanaanza kubwabwaja. Hatuji karimjee ng'o! Mbona tuliwaita kwenye...
Hatuwezi kusikiliza porojo zako kwa sababu upinzani ndio uliomfikisha magufuli magogoni. Kama si wapinzani JK angefanikiwa kumweka kidampa wake Membe ila kutokana na presha kubwa ya upinzani akalazimika kuacha magufuli asonge mbele japo si chaguo lake. Lazima tuheshimu jitihada za upinzani
Lakini watanzania wenzangu mnabisha tu bure hali halisi inaonekana tatizo ni mfumo uliowekwa na ccm na si magufuli. Hata umlete mfalme suleiman aje kuongoza chini ya jinamizi ccm atashindwa tu. Tatizo ni mfumo. Suluhisho hapa ni katiba ya warioba. Period!
Serikali ikitoa ada elekezi ikumbuke pia kutoa mshahara elekezi kwa walimu wa shule za binafsi. Kiasi cha ada lazima kiendane na kiasi cha mshahara. Hili likitokea baadhi ya shule zitapunguza mishahara ya walimu na hili litaathiri sana kiwango cha elimu kwenye shule za binafsi. Kwa hiyo hili...
Umeleta hoja ya kijinga kupita maelezo. Siasa za ukanda zilianzishwa na kikwete na familia yake wakiungwa mkono na Nape Nnauye kama silaha yao dhidi ya CDM. Kwa sasa hoja hii haina mashiko sana sana itakushushia hadhi yako mleta hoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.