Search results

  1. R

    Tumekosea wapi ? Na nini kifanyike baada ya mvua hizi?

    Tatizo la kutokuwa na mipango miji thabiti. Maeneo yaliyopimwa ni machache, Maeneo yaliyopimwa hayaheshimiwi. Mipango miji sio agenda ya viongozi,wala kupanda miti kuhifadhi mazingira sio kitu kinachowaumizi kichwa viongozi. Bei ya gesi wameacha imepanda sana,na hivyo kuchochea ukataji miti...
  2. R

    Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?

    Q Watoa habari wanamtengenezea kiki Mkuu wa Mkoa. Badala ya kujikita kwa mambo muhimu wanachukua habari za kudhalilisha mhandisi.
  3. R

    Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

    "Huyu ni kijana wetu,lakini amesema jambo la kijinga" kauli ya Katibu Mkuu. Katibu Mkuu anasema ukweli,ukweli usemwe."Mtu akisema jambo la kijinga lazima tuseme hapa kasema jambo la kijinga" Kuna wengine wanafikiri kutishia kuwapoteza watu wana wanaokosoa kuwa ni halali,na kujihisi wapo juu...
  4. R

    Kwanini Makonda anafuatwa na viongozi wa dini kuombewa sana?

    "Pepo la kukurupuka na kuropoka" ni tatizo.
  5. R

    Mapendekezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha: Igeuze Arusha kuwa ndo "Financial Centre" ya Tanzania na iwe mfano wa mikoa ingine na tafuta washauri maalum

    Gama aliyeongoza Mkoa wa Ruvuma,Aliyongoza Mkoa wa Kilimanjaro ni mwanae wote ni marehemu.
  6. R

    Manispaa ya Kinondoni imefanya jambo kubwa sana kuongeza English medium primary school za ada nafuu

    Wale wanaogopa kubadili mfumo wa elimu wajifunze hapa,na wengine wafuate utaratibu huu,tusonge mbele. TUMECHELEWA SANA.WAKUBWA WANAPELEKA WATOTO WAO SHULE ZA ENGLISH MEDIUM",HII HAISEMWI NI KIMYA KIMYA.
  7. R

    Rais Samia, Makonda anataka kuigawa Serikali yako na Chama kuelekea uchaguzi, ni mtego. Usikubali, ana nia ovu

    Wakati wa mapokezi ya ndege mpya alianza kuongea Dar es Salaam. Kila akimuona Mheshimiwa Rais anaongea hisia zake. Au kuna jambo ambalo wameshawahi kuliongea,mbona anakosa kifua kama anataka kufunguka! Hii ni mara ya pili mbele ya mheshimiwa Rais anawasema Viongozi waliopo Serikalini.(eti...
  8. R

    NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

    Yaani tunakwepa kuandika Katiba mpya tunakimbilia kutamka kuwepo Tume huru!!!
  9. R

    NEC yabadilishwa jina sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi

    "Bila Katiba Mpya",huwezi kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi. Majibu ya kwa nini Katiba Mpya haiandaliwi,imeletwa hii kama hadaa ya kuwepa michakato ya katiba mpya. Pamoja na kukwepa,bado umuhimu wa katiba ni muhimu,ni suala la muda. Watanzania wote walishaona umuhimu wa katiba...
  10. R

    Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

    Tuna sheria za kodi zenye mtazamo wa kizamani(mfumo wa ujamaa): 1.Kodi na Tozo kuwa nyingi kwa kitu kimoja. 2.Kuendelea kutafsiri kumiliki gari ni anasa Mfano: Unaweza kununua gari kwa thamani ya TRA hadi Dar es Salaam ni $19,124/20,lakini ukalipishwa kodi na tozo aina 6 kama ifuatavyo...
  11. R

    Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

    Hapo sawa isipokuwa Ali Hapi anatakiwa aendelee kuwa makini na kusikiliza maelekezo ya wazee!!!!
  12. R

    Ila Makonda ni Mtu Mwenye Uwezo Mdogo Kujitambua. Kamuaibisha Mteuzi Wake

    Mengine siku ya kuapishwa tutayajua. Siku ya kuapishwa lazima kutoa hotuba?!,au Lazima kuwa na mahudhurio ya watu wengi? Mengine sio muhimu mwananchi wa kawaida kuyajua. Mapungufu yoyote yanayosemwa kwenye vyombo vya habari,ni udhaifu wa Serikali na wala sio udhaifu binafsi wa anayesemwa.
  13. R

    Mwanangu Makonda, umeichoka na kuikinai nafasi yako chamani?

    Wakubwa wametafakari na kuona ukweli ametolewa na kupelekwa kuleee! atulie anaongea anapitiliza.
  14. R

    Ni aibu kwa Serikali kwa Mashirika ya Umma karibu yote kupata hasara

    Maagizo ya kisiasa,ni chanzo cha kudhoofisha usimamizi wa mashirika. Usimamizi na menejimenti :Waajiriwe watu huru hata kutoka nje kama wanazo sifa na uzoefu. Shirika la Ndege Emirates wameajiriwa watumishi ambao sio wazawa,na shirika linaendelea vizuri. Tujifunze Ethiopia mashirika ya Serikali...
  15. R

    Tumsaidie Mama Samia kupata mtu sahihi wa ITIKADI na UENEZI, Weka jina humu JF na toa sababu

    Hapana hataweza. Kipindi kile(akiwa umoja wa vijana) naye alikuwa ni wakuonyesha kiburi na vitisho. Kwa jinsi hali ilivyo mkubwa anataka siasa makini.
  16. R

    Tetesi: TBC hakukaliki, muda wowote Zuhura Yunus anakuja na mkeka!

    Shirika linalosimamia hizo meli,lina meli zingine katika ziwa Tanganyika ambapo meli kutoka Kigoma itakuwa inaenda Zambia,na Ziwa Nyasa,meli itakuwa inaenda Malawi. Nahisi mwandishi alisau kuweka ufafanuzi wenye kuunganisha huduma katika Ziwa Victoria,Tanyanyika na ziwa Nyasa.
  17. R

    Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

    Matatizo yaliyopo nchi ya Senegal na kwetu yapo. Bahati mbaya viongozi wetu hawapo tayari kurekebisha sheria kanuni na taratibu zenye kutoa haki,tunaishi kimazoea miaka nenda rudi !!
  18. R

    Senagal imechagua Rais kijana kuliko nchi yoyote Afrika

    Habari ni upinzani kukabidhiwa madaraka bila kuibiwa kura wala figisu. Katiba na mifumo ya uendeshaji na usimamizi wa uchaguzi tukajifunze nchini Senegal. Wapiga kura hawadanganywi wala kutishiwa(Eti ukuchagua upinzani hamtaletewa maendeleo!).
  19. R

    Ni wazi Watanzania wote wameanza kuwaelewa Chadema, TEC na wengineo

    "Wafanyakazi wachague kujiunga na DP world au.....!".yale yaliyokuwa yanasemwa na kupingwa na Viongozi ndio yanaenda kutokea.
Back
Top Bottom