Mara kadhaa nimeona mijadala humu kuhusiana na single mothers, kwa wengi imekuwa ni ushujaa kuwasema vibaya hawa wanawake wenye mtoto ama watoto na kwa kweli walioamua kulea watoto wao bila uwepo wa baba.
Kuwa single mother sio kilema, sio upungufu wa akili ni matokeo tu ya maisha, kifo ama...
Acha mbwembwe na maneno matupu, weka hzo source zako.
Unataka utafutiwe sources kwanini wewe usiweke link hapa kama alivyofanya mwenzako. Umebaki na maneno matupu kama mama muuza vitumbua mtaani.
Umewekewa Al Jazeera, BBC, Al Monitor bado unatoa maneno tu.
Inaonekana wewe unapenda ubishi wa...
Alama ya upinde wa mvua ina tatizo gani?
Upinde umekuwepo kwa mujibu wa Biblia baada ya Gharika; umetumika kama alama ya matumaini kwa vizazi kadhaa.
Zipo bidhaa, taasisi na mashirika yanayotumia alama ya upinde; leo tatizo ni nini?
Vipi kama hao wafedhuli watu wa LGBTQ wangeamua kutumia...
Hii nchi wastaarabu wapo wachache sana.
Watu wamekaa kiujanja ujanja tu; kuwa makini na watu wa nchi hii, anaweza kuwa na muonekano wa kistaarabu lakini ndani ni primitive kabisa.
The Psychology of Hypocrisy – Why We Do it & How to Stop
Everyone has been prone to hypocrisy at one point or another. It’s virtually impossible to live up entirely to one’s own moral code, as we are all humans that make mistakes. We may sincerely believe in objective morality, but find...
Tatizo la hii simulizi lipo hapa ''ku-withdraw pesa nyingi sana''
Inafanya wasomaji wahisi unajimbwafai
Inafanya wasomaji waone unajitangaza kuwa una pesa nyingi sana
Inafanya kumfanya dada wa benki kuwa amevutika na pesa zako nyingi sana.
Hakukuwa na umuhimu wa hii ''ku-withdraw pesa...
Ni tabia mbaya yenye kudhalilisha utu na haiba ya mwanamke. Hongera dada kwa kulileta hili hapa kwa mjadala mpana.
Sio jambo jema hata kidogo. Haiwezekani ukawa na akili timamu halafu ukawa na hii michezo ya kuingia mlango wa pili.
Ni jambo gani linalovutia kwenye ule mlango? Ni kujitafutia...
Ni Juni 27, mwaka 1976 majira ya saa 12.30 jioni; ndege ya Airbus A300 inayomilikiwa na shirika la ndege la Ufaransa (Air France) ndege namba AF139 ilipaa kutoka uwanja ndege wa Athens. Ndege hii ilitua katika uwanja Athens ikiwa safarini kutoka Tel Aviv Israel kuelekea Paris Ufaransa.
Mpaka...
Amewasha genereta kwa siku 29 kwa mujibu wa aliyeleta mada hapa jukwaani.
Tufanye assumption tu kuwa walau genereta imewashwa kwa masaa 12 katika hizo siku 29
Sasa njoo kwenye hesabu:-
1. Wastani wa gharama kwa siku ni = 15,000,000/29 hii ni sawa na TZS 517,241/-
Hizo ni gharama ya Lita...
Tufanye ameongeza sifuri mbele halafu turudi kwenye hesabu ndogo tu
Amewasha genereta kwa siku 29 kwa mujibu wa aliyeleta mada hapa jukwaani.
Tufanye assumption tu kuwa walau genereta imewashwa kwa masaa 12 katika hizo siku 29
Sasa njoo kwenye hesabu:-
1. Wastani wa gharama kwa siku ni =...
Ni Juni 27, mwaka 1976 majira ya saa 12.30 jioni; ndege ya Airbus A300 inayomilikiwa na shirika la ndege la Ufaransa (Air France) ndege namba AF139 ilipaa kutoka uwanja ndege wa Athens. Ndege hii ilitua katika uwanja Athens ikiwa safarini kutoka Tel Aviv Israel kuelekea Paris Ufaransa.
Mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.