Kwani Kilimo, Uvuvi au Afya ni mambo ya Muungano hata UKAWA wapiganie kwenye mkutano na Kikwete?. Mwandishi umesukumwa na jazba hujui hata nini unaandika kwa ukereketwa mbovu
Hongereni Wana DMV kwa kusimama kidete kupinga dhuluma ambayo hao CCM wamefundishwa kutoka nyumbani kuchakachua Uchaguzi. Msimamo huo huo kutoka na MABANGO kila kukiwa na shughuli yoyote ile
Usipotoshe Watu kwenye suala hili maana this week Watuhumiwa Yaani Tume na Wajumbe wa Board wamekaa na lawyer ili kujipanga kujibu mashtaka walioshtakiwa. Kesi iko Mahakamani usipotoshe watu
Naomba nichangie Kidogo suala hili maana Waswahili wanasema Haba na Haba hujaza kibaba. Sasa siku Wamekwenda kwenye Mwenge, kesho kaja Rais kwenye Mkoa wao watapelekwa, kaja Rais kutoka nje wajipange, Sherehe za zinazoitwa ETI za Mapinduzi na Muungano wanachezeshwa Halaiki mwezi mzima. Sasa...
Kwani Zanzibar ndio chaka lenu?. Mahkama ya Kadhi inatakiwa kwenu Tanganyika na Waislamu wana Haki kwa Hilo. Kwahivyo, jibaneni Huko Huko na lazima muwapatie bimaana ukiwaambia wahamie Zanzibar na waondoke ni kufany Waislamu Hawana Haki Tanganyika
Kanisa lifunge mdomo wake kwenye siasa za TZ maana TZ haina dini kwahivyo msitie dini kwenye siasa Kama alivyofanya Lukuvi maana hasara Yake itakuwa kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.