Ahahaaaaaaa.....sasa kimsingi wamefunga ndoa hao au wamefungishwa ndoa na wazazi wao...anyway heri mie dini tofauti na hakuna ndoa ya serikali wala dini na maisha yanasonga mbele na watoto wanabatizwa wakikuwa ruksa kusilimu au hata kuwa walokole...dini zilikuja hiI usishangae zikaja zingine na...
Dogo...subiri ukikuwa ndio utajuwa ukubwa wa dushe una uhusiano na pesa....siju pesa zikikata hata mandingo atachekwa na kuitwa kiba100... kijana ongeza kipato uume utakuwa kama wa porn stars na kila demu utayemgonga lazima akuheshimu na kulia kama anakufa siku hiyo.
WANAWAKE KARIBUNI KWA KUTOA...
Mleta mada you are genious mannnnnn.....tatizo hawako market oriented. Walivyokuwa wapuuzi utaskia NHIF INAUZA HISA ILI KUKUZA MTAJI ...hisa moja tsh 120....unachoka kabisa. Wala hata isiwe tsh elf 80...wafanye hata laki 2...kwa mwaka.kila myu akate bima yake kuliko hayo ma milioni.
Uwakute hawa wake zetu kina asha ndala ndefu...mamaaaaaaa. utaskia..mfyuuuuuuu umalaya tuu...hapo badala ya sala au dua inafuata RISALA ya mtaa na majiraninwote wanasikia.
badala ukae nyumbani hata watoto wakuone na kukjua baba yao mwanaume kiguu na njia utadhani umekula.miguu ya kukuu...
Mke mwema hutoka kwa BWANA na apataye mke amepata KITU CHEMA...
hakika mumeo ni kati ya watu waliopata kitu chema. Asante sana mke wake kwa kumuombea mumeo...
kina mama waombolezaji ni jeahi kubwa sana MUNGU HUSIKIA MAOMBI NA VILIO VYAO.
HERI MUME ALIYEKUPATA MAANA ATAYAFURAHIA MAZURI NA MEMA...
Sawaaaa...wee baba unamuotea ndoto njema mwanao..
jee yeye mwanao anajua hilo? Je anajuwa ili afike huko anatakiwa awe na nini kichwani mwake mbali ya fwezwa za baba yake?
Acha kuota ndoto zisizokuhusu...mtoto ajiotee ndoto zake mwenyewe.
Woyoooooooooo....NDIO ISHAKUWA HIVYOOOÒOO...MUNATAKA SAWAAA HAMUTAKI POUWAAA TUU...kazi zinaanza na wazawa kwanza wakikosekana wenye uwezo huooo kisha jirani naye akikosekanaaaa kisha mgeni naye akikosekanaaaa tunaenda mars waje UFO.
Hivi nilikuwa wapi wakati vodacom tz wanatangaza hiyo vacancy...
Think again my brodaaaa....they need us just like christians needed the second resurrection of the Jesus christ...
an investor always needs a market...sisi ni soko tena lenye kiu ya mtoa huduma.
Pia usisahau wanatakiwa wakubali kanuni mpya za ndoa as mume anamtafutia sabahu mke za kumtaliki...
Nisaidie kuwauliza hao wa kenya....what if we chase these vodacom thieves out of our country...will they keep on complaining and whining like last borns?
Waambie wasibweteke...aliyenyimwa kibali cha kazi ni afisa wa vodacom na sio wakenya...waambie wakenya WAPIGE KAZIII...HAPA KAZI TUU..
Naomba aliyesoma na mkulu salford uni atuambie kama ni kweli....maana mie hutilia shaka hata u professor wa lipumba...LAKINI pia tusisahau wapo watanzania kibao uingereza na hawajui kiingereza.....mukulu naye ni mmoja wao.
Hapo kwenye right track mie nilishakataa...sio kweli labda alimaanisha tupo kwenye RIGHT TRUCK maana yeye si ndio dereva wa BULLDOZER....ahahaha...big truck driverrr
Chief dont take it personal...hata chinesse an europeans wananyimwa work permits...we need serious experts not these tim n harry brothers coming to do what we can...
Hizi post za kitoto na kijinga ndio zinazopelekea kina fulani wafikirie kuifungilia mbali jf....arghhhhhh umenichefua na mada yako. Alaaniwe mwanaume atakayemwoa mwanamke wa aina yako....maana unaviashiria vya kuja kutiwa na watoto wako kisa tuu wakipata vibamiankama vya baba yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.