It might be best known for its wildlife, but Tanzania is facing a growing number of environmental concerns and biodiversity in the country is under threat.
Rapid deforestation means more than 370,000 hectares of forest are cleared every year for charcoal, firewood and lumber without a clear...
Habari wanajamvi, ninatafuta slim laptop yenye 13 inches.
Specs; at least 500 HDD, 4 GB RAM
Brand: HP, Dell, Samsung, Asus or any other reputable brand
NB: Iwe slim, iwe na uzito usiozidi kilo 1.5 na muuzaji nitamlipa kwa kumfikia alipo, iwe ni mpya au used.
Anayeamini ana fair deal anitumie...
Habari wanajamvi, natafuta Tv 32 inches original Samsung au LG ka affordable price.
Pia natafuta housing ya Samsung Laptop NP300E5V
Nitumie Picha WhatsApp 0719579733 tunegotiate price kama ni negotiable..
Sitaki shipping...nakuja physically ilipo (Dar)
Ndugu zangu maofisa,waasibu, mameneja na wakurugenzi wa bodi ya mikopo ya Elimu ya juu nchini Tanzania (HESLB), poleni sana kwa kazi nzito mnayoifanya maana nimeota ndoto kuwa mara baada ya timu ya taifa kushindwa kufanya vizuri mmeazimia kulisaidia taifa katika kitengo hicho na ndoto inaonesha...
Ndg Wanajamvi,
Sijui kama laptop huwa zina housing. Mimi natafuta housing ya Samsung Laptop 16 Inches yenye rangi ya nyeusi.
Fundi yeyote aliyo nayo au kama unamjua aliyenayo anitumie picha Whatsapp kwenye namba 0719579733
Ndugu Wanajamvi,
Sijui kama laptop huwa zina housing. Mimi natafuta housing ya Samsung Laptop 16 Inches yenye rangi ya nyeusi.
Fundi yeyote aliyo nayo au kama unamjua aliyenayo anitumie picha Whatsapp kwenye namba 0719579733
TAARIFA KWA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE MAIN CAMPUS.
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam (DARUSO) inapenda kuwataarifu wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa mwaka wa...
TANGAZO KWA FIRST YEAR WOTE WALIOCHAGULIWA UDSM (MLIMANI CAMPUS) 2015/2016.
Serikali ya wanafunzi DARUSO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa UDSM na kuwatangazia kuwa yeyote mwenye tatizo au maswali kuhusiana na chuo kwa ujumla awasiliane na Wizara ya mambo ya Nje, Habari na...
TANGAZO KWA FIRST YEAR WOTE WALIOCHAGULIWA UDSM (MLIMANI CAMPUS) 2015/2016.
Serikali ya wanafunzi DARUSO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote waliochaguliwa UDSM na kuwatangazia kuwa yeyote mwenye tatizo au maswali kuhusiana na chuo kwa ujumla awasiliane na Wizara ya mambo ya Nje, Habari na...
Na Charles William
Dr. Asha-Rose Mtengeti Migiro ni moja kati ya majina ya watanzania wachache wenye rekodi za kushika nafasi kubwa na za heshima kubwa duniani, akiwa amewahi kuteuliwa kushika nafasi ya unaibu katibu mkuu wa umoja wa mtaifa(UN) kwa miaka mitano tokea mwaka 2007 mpaka mwaka 2012...
Ndugu wanajamvi, Kuna ushahidi usio na ukakasi kuwa serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya mchumi Dr. Jakaya Kikwete imefilisika na haina fedha kwa ajili ya kuendesha shughuli zake za kila siku.
Madai haya yanathibitishwa na mambo kadhaa, la kwanza ikiwa ni kutotolewa kwa mikopo...
President Putin has insisted that Russia's new ban on "homosexual agendas," which allows for the arrest and detention of foreign nationals who express pro-gay sentiment or "appear to be gay," will not apply to foreign athletes competing in the Sochi Games. This pledge has not failed to allay...
The United Republic of Tanzania is one of the largest producers of gold in Africa. Small-scale mining is responsible for a sizable percentage of all exports, but with a distinct lack of regulation in this sector communities are exposed to exploitation, dangerous working conditions and further...
Tangu sakata la Zitto Kabwe limeanza ndani ya wiki tatu sasa,Kumejitokeza wanachadema vinara wa kumshambulia kila mahala,tukiangalia zaidi katika mitandao ya kijamii. Hii inawahusisha wanachama wa kawaida na hata Viongozi waandamizi wa chama. Zitto Kabwe alikosea,aliteleza na ni mwanadamu...
Huku kwetu Tanganyika kuna mbuga za kila aina,zimesheheni wanyama wa kila aina,Kwa idadi Ndo usiseme.Hivi kule zanzibar kuna mbuga zipi na zina wanyama gani??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.