Habarini za asubuhi mabibi na mabwana,
Hivi kuna nini kinaendelea kati ya PPF na SSRA? Ni hivi nilikuwa mwajiriwa katika taasisi flani ya binafsi hapa mjini. Nimefanya kwa miaka 5 huku nikiwa mwanachama wa PPF, baada ya mkataba kwisha nikaamua niachane na ajira niwe mjasiriamali.
Nikaamua...
Mashabiki wa alikiba mnatakiwa kumpa ushauri nini cha kufanya hata kama zama zake zimeshapita, hii kumwita king ni kumjaza ujinga ajione yuko juu zaidi ya wapinzani wake kumbe hamna kitu na bado anasafari ndefu.
Kwa jinsi mnavo msifia na hiyo vdeo hakika ni mapenzi yenu kwake na si ubora wa...
Mkuu kufanya na wangapi sio shida, je hiyo list ya uliofanya nao ulimu hadithia mwenzako.? Chamsingi ni yaliyopita si ndwele mgange yajayo kwanini kudeal na yaliyo pita.?
Kama lengo ni kumshirikisha maisha yako ya zamani mshirikishe ila habari ya ndoa sahau maana atakuacha tu.
Ni wanaume wachache sana wanaweza kuendelea na mahusiano na mtu mwenye historia kama yako(mimi siwezi) nadhan hata bwana yako hawezi.
Kweli Jf imeishiwa watu wanaoweza kujadili mada kama hizi,matokeo yake wanajadili kuhusu Yesu ni Mungu au siyo Mungu.
Ipo clear kabisa kuwa imani ya kikristo na kiislam ni vitu viwili parallel kabisa hivyo ww kama muislam imani yako ni Yesu si Mungu na kwa mkristo Yesu ni Mungu full stop...
Sasa hapo kipi huelewi,kaisha sema sababu kwanini hakuseema mapema ni kwamba ungekataa..!
ukweli usha ujua na amekiri kuwa ana mtoto eti bado unauliza kwa nini alikuficha..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.