Habari zenu wana MMU,
Ni siku nyingi sana sijaposti kitu hapa jamvini,
Nadhani majukumu yamekuwa mengi sana. Sasa twende kwenye lililonileta hapa, nina rafiki yangu wa karibu sana, wazungu wanasema "we go way back" tangu enzi za chuo.Sasa huyu rafiki yangu ni mtu ambaye alikuwa mpole sana...
Habari zenu WanaMMU,
"Perfection is not attainable, but if u chase for perfection, you can catch excellence", those aren't my words but the words of Vince Lombardi.
Hapa Vince alijaribu kuelezea kwamba ukamilifu hauwezi kufikiwa ila kama utajaribu kuutafuta unaweza kuambulia ubora. Siku zote...
Kubadilisha wapenzi wakati wa ujana kabla ya ndoa husaidia kutulia kwenye ndoa?
Habari zenu wadau,
Kuna Usemi hupendwa kutumika sana "ujana maji ya moto" au ule mwingine "ujana damu inachemka, ukiizuia itakuchemkia uzeeni ama kwenye ndoa"
Hakuna tafiti rasmi iliyofanywa juu ya hii mada...
Why you should care
For Ladies, the width of your hips may play a crucial role in your decision to sleep with someone. That's according to scientists at the University of Leeds, who report that a woman's figure could play a crucial role in her decision to have sex. Specifically, women with...
Habari zenu wadau!
In our cultures, music is an important part of our way of life. Having said that, Its gonna be a long weekend, so try listening to Tim Mcgraw's love story album and Keith Urban's fuse album, for sure u will enjoy some good country music along with ur weekend!. Am already...
Dear Women,
There are no words to express your love and strengths. The way you stand vigilant and conquer obstacles of life is truly remarkable;
You get married and change your name and home,
You leave your family and move in with your husband,
You build a home with your new partner and...
Habari zenu!
Nipo nimepumzika enjoying the long weekend huku nikiperuz jf specifically MMU ambapo nakutana thread ya uran interviewing Nambe and Shansarie ambapo Nambe one of the interviewee talked about her first time and how it was a bad experience to her. Truly she isn't the first one among...
Whether your Married or Single...
If you were in the following situations, would you have considered an abortion?
1. There's a man and wife who are very poor. They already have 14 kids. Now the wife finds out she's pregnant with her 15th. They're living in tremendous poverty. Considering their...
Habari zenu Great thinkers, nilikuwa naandaa business research plan for a certain project and nimekutana na challenge ya kujua some of the lacunas that are in contract law, sales law, Agency law, Partnership law and Company law. Please naomba msaada wenu lawyers na hizo lacunas. Thanks in Advance!
TO THE LADIES!
Your man is not perfect. You arent either, and the two of you will never be perfect. But if he can make you laugh at least once, admits to being human and making mistakes, hold onto him and give him the most you can. He isnt going to quote poetry; Hes not thinking about you...
Habari zenu Wadau,
I was in love with this lovely girl for almost 6yrs since tupo A-level hadi tunamaliza chuo, i told her ila alikuwa anazigua and not showing any interests kama ananipenda. so I kept on trying lakini everything I said and did was nothing to her.
After 6 yrs and 5...
SOME CRAZY FACTS
SMILE: A curve that can set a lot of things straight
EXPERIENCE: The name men & women give to their mistakes
MARRIAGE: It's an agreement in which a man loses his bachelor degree and a woman gains her masters
DIVORCE: Future tense of Marriage
COMPROMISE: The art of dividing...
Habari zenu wanajf
Katika pitapita zangu mtaani kuna nyumba moja imenivutia sana kwa jinsi ilivyojengwa,ni nyumba ya gorofa moja, mchoro wake na design yake vimenivutia sana.
Tatizo ni kwamba je naupataje mchoro wa hiyo nyumba au basi hata architect aliyechora huo mchoro kwasababu...
Habari zenu wanajf
Katika pitapita zangu mtaani kuna nyumba moja imenivutia sana kwa jinsi ilivyojengwa,ni nyumba ya gorofa moja, mchoro wake na design yake vimenivutia sana.
Tatizo ni kwamba je naupataje mchoro wa hiyo nyumba au basi hata architect aliyechora huo mchoro kwasababu nimejaribu...
Habari zenu Wadau
Nimefanya alot of adventures in my life from one night stands,hook ups and random sex with different women ila that was during my youth life and nimeacha na kuamua kusettle down. I thank God am happy n healthy, so plz dont judge me.
Back to the Mada, kitu kimoja ambacho...
Habari zenu wadau
Nina rafiki yangu amekuwa anajitolea kwa muda wa 5 months now kwenye benki moja hapa dsm baadaya ya kutafuta kazi na kukosa. Hivi karibuni wameitwa kwenye interview na hiyo benki baadaya kutoa nafasi za kazi,sasa tatizo ni kwamba wakati anaomba kujitolea alipeleka vyeti vya...
Habari zenu wadau,
For sometym nimekuwa naona watu wakijua mtu anabusha basi akikatiza mitaa ile wataanza kummock dat person in different ways including kujambisha (hopefully tunajua when i say dat)..
Sikuwahi kutake serious hadi leo nilipokuwa mitaa ya Mwenge stendi pale, kuna jamaa kumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.