... Ahaaa! Unaandikia mate, wakati wino upo!
... Marko, Jesca, Yohane, Grace, Mathayo, Elizabeth, Timotheo, Anna, Tito, Mary, n.k HAWANA NAFASI...
Hii ni kwa sababu mwajiri alikuwa anapata shida kutamka majina hayo!
...Ukienda kuomba kazi huko jitambulishe kwa majina ya kimashariki mashariki...
Mgambo leo wakijiamini na wakajipanga vizuri wanaweza kufanya maajabu, na wakapata pointi ktk mechi hii ya leo. Ukiangalia msimamo wa ligi kuu kwa sasa, mechi hii ya leo,wanatafuta vitu viwili: pointi na kuweka heshima, kwa kuwapa raha wana Tanga.Bilashaka Mgambo watarusha makombora na madalagu...
... Yanga wasiwe lelemama, pale Mkwakwani kuna siri nzito kwa Mgambo Shooting kwa shavu wanalopewa na mashabiki wa kandanda ndani ya jiji la Tanga waja leo waondoka leo ndio siri ya Maafande wa kupiga kwata wa Mgambo Shooting kuendelea kupigana kufa na kupona ili kukwepa panga la kuporomola...
... Kwangu mimi mwanamke wangu akiwa na kipato kikubwa kunizidi na akaanza kuwa na jeuri... Kazi ni kumjaza mimba kila baada ya miaka miwili miwili... Na kuhakisha tunapata watoto wengi wakupunguza makali yake.
... Karibu mwana wetu, na pole kwa yaliokusibu! Natumaini utapa ushauri mzuri hapa JF, Ila umegonga hopi na kuingia moja kwa moja kwenye meza ya chakula!
Leo waheshimiwa Mr. kulala' watalala mpaka wawekewe dawa ya mbu, maana hawanahofu ya kuonwa na wananchi...
Heri yake mzee wa si ra ra sirara, atachapa usingizi mpaka basi.
Bunge hili jamaa wamehamua kujifungia ndani peke yao.
TBC CCM hawana habari kinachoendelea Dodoma, au ndiyo ile kanuni ya Mkinda yakuchificha peke yao imeanza kufanyakazi leo!
StarTV wao wameparamia sherehe za watu! Wamekuwa wakenya leo, wanarusha matangazo ya sherehe za Uhuru Kenyatta
..., mkuu umenena! inaoneka ndiyo njia yao ya kuomba pilau na soda' kwamba wakipaza sauti wataitwa kufanya vikao vyao vya usaliti vya kuwaadaa wafanyakazi, kumbe ni upuuzi mtupu.
Ni bora TUCTA ingevunjwa' kwa sababu sioni kazi wanayoifanya.
Wataala na wachambuzi wa mpira wanasema kwavile beki wa kati, Thiago Silva, na washambuliaji Zlatan Ibrahimovic na Ezequiel Lavezz, ambao wote walisajiliwa mwaka jana kwa gharama kubwa, wamekuwa mhimili kuisaidia PSG kupata mafanikio mpaka hatua ya sasa.
Isije ikawa kama hii hapa!
APIGWA FAINI KWA KUITA ZIMA MOTO SIKUYA WAJINGA
Mkazi mmoja wa eneo la Mikanjuni jijini Tanga alipigwa faini shilingi laki tano kwa kutoa taarifa ya uongo kuhusutukio la moto katika eneo lake.
Tukio hili lilitokea miakamiwili iliyopita kwa mujibu wa mchangiaji mmoja...
... Udini tena!
Serikali ihunde tume ili kubainisha wahusika, na nia zao nini.
Pia waletwe wapelelezi wa kimataifa wa kukodishwa "IFB au CIA" ili kuchunguza hili suala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.