Tanzania bwana, likija suala la kugusa interest na starehe za watu unaweza kuzimwa kama kibatari! Ni aibu kumpoteza activist kama Mama Terri alikuwa anaielimsha jamii kwa kiasi kikubwa sana. Tukumbuke kuwa jamii yetu haina utamaduni wa kuwaeleza watoto ukweli kuhusu maisha, mahusiano na...
[I]Nakuunga mkono Philemon , Inashangaza kuona ni vitu gani huwa vinapewa kipaumbele na watz, vitu kama UDAKU vinachukua muda sana kuhamishwa au kufungwa. I'ts all good, Taifa letu halijawahi kuipa elimu kipaumbele hivyo sishangai pale watu wasipowatambua wasomi hata wale wenye mchango...
OMG, Rest in Peace my dear Brother- In -Law. Its so hard to believe I won't see you again! I wish I was there to pay the last respect.To the family, Words seem indequate to express the sadness i feel about this loss. We just have to remember; When someone you LOVE becomes a memory, the memory...
Tanzania kinachotumaliza ni ubinafsi na ile tabia ya 'kuchukua chako mapema' kwakweli nchi inapoelekea ni pabaya kuliko tunavyofikiria viongozi wetu kwa kushirikiana na wenye pesa wachache kutwa kucha hawalali wakifikiria ni kwa jinsi gani watazidi kumnyonya na kummaliza kabisa mtanzania wa...
I like this Naima..hii ndio dawa ya watu wenye dharau ambao wana-judge kitabu kwa kuangalia jalada itabidi niige huu mfano wako unafaa sana kuwakomesha wafanyabiashara wa Bongo wenye cutomer service zero.
Nimesoma hii mifano mbalimbali ya kero za Bongo jasho linanitoka manake nyumbani ni...
Jamani niliburudika sana na hadithi za mtunzi huyu mahiri wa Tanzania..hivi alikuwa anaendelea kuandika?Wanafamilia, ndugu, jamaa na marafiki poleni sana kwa msiba, Mungu ampumzishe kwa amani.
Nakuelewa katika hili, ila swali lako hapo chini limenifanya nifikirie sana ni swali zuri ila sio rahisi sana kulijibu ukizingatia mila zetu za kiafrika ambazo mwanamke ndio mhimili wa ndoa japokuwa mara nyingi hana sauti katika maamuzi muhimu yaihusuyo ndoa hiyo (is too sad). Kwa mimi binafsi...
Cha kushangaza zaidi hawa wakenya ndio wafundishaji wakubwa wa kiswahili nchini Marekani, ilhali kiswahili chao ndio hicho kimekaa upande. Watanzania tuna nafasi kubwa ya kuendeleza hii lugha nje ya mipaka yetu kwa kasi ya ajabu; kinachotakiwa tu ni umakini na kujua ni kitu gani tunacho kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.