Hiyo anayosema atajenga kwa bilioni 10 haiwezekani. ni siasa tu, huwezi shusha ujenzi kutoka bilioni 100 hadi 10. Kwanza hata ukienda National construction council kuna bei elekezi za gharama kwa mita ya mraba, chukua hiyo zidisha mara mita za mraba za sakafu za hayo majengo upate muelekeo
Huyo mtaalam wa chuo cha ardhi ni mtaalam wa nini? Hii stori imekaa kimajungu tu mwandishi anataka kupigia mstari anayoyasema. Ukarabati unaweza kuwa hata wa 1bn inategemea na aina na ukubwa wa nyuma.
Preta nipoo. Nimekukosa saaaaana pia. Habari za huko? name hao uliwataja siku nyingi kuwaona au kuwasikia. Teamo walau alinikaribisha kwenye mji wake wiki iliyopita.
Kumbuka pia Jekinson, yule back up ya full back ya kulia kapelekwa kwa mkopo. Ina maana Chambers ndio cover ya Debuchy, Koschienly na Martesacker. Lazima atashindwa maana majeruhi yatamzidi. Kumuuza Vamerlean bila kumreplace sawasawa ni sheedah. Cha moto tutakiona tu pale tutakapokutana na...
Huu mradi na kwa gharama yake haupaswi kuwa ni kwa wasio na magari tu, inabidi upunguze foleni kwa ujumla kama tulivyo aminishwa. nafikiri ni ngumu kwani inategemea sana kama kweli watu walio na magari wataamua kupaki magari na kutumia hayo mabasi. Bila hilo kutokea hakuna chochote kitachotokea...
Kweli bongo tambarare; Kumtetea ZZK tayari umekuwa mjadala mkubwa kuliko kujadili rasimu!! Tuachekutumia nguuuuvu hoja ambazo sio za msimgi saaaana. hapa ni kama ubishi wa baa tu
chama hiki tunachokipenda na watu hawa tunaotaraji waungane na wawe na umoja nyakati hizi wanatutia shaka. ZZK an Mkumbo wametoa taarifa nzuri na za kuonyasha wamekomaaa hata kama walikosea, ni changamoto kwa chama na sisi washabiki wake. Tunasubiri msonge mbele na jitihada za dhati za...
Hivyo ndiyo litakavyokuwa daraja la kigamboni. huo mduara umewekwa ili kupunguza makali ya levels, lasivyo lingekuwa na mlima/mteremko mkali sana ambao si salama kwa level linapotakiwa liwepo. lengo ni kufanya usiwe ukifika darajani basi inakuwa kama sekenke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.