Jamani kuna coding competition organized by google here:
http://code.google.com/codejam/africa/
Current Round is only a qualification round, so it not too late. Round hii inaisha saa 9 usiku leo, kwa hiyo bado kuna masaa kama 9 yakutosha kupata score ya kukuwezesha kupita kwenda kwenye final.
Hawakuelewi sir. Unauliza swali wao wanatengeneza swali lingine na kujijibu wakiwa na uhakika kabisa kwamba wamejibu swali lako. (Wengi wetu huwa tunafeli hivi mitihani).
Wewe unauliza "sheria inakataza kumiliki pingu?", wao wanajibu swali "watanzania huwa wanamiliki pingu?".
Kama hakuna...
Kwa nini wewe uliyemsafi usiende kutoa hizo habari za RUSHWA? Itasadia zaidi kuliko kulalalam hivyo. Na hiyo tuzo tutakupa wewe ili iwe na maanza zaidi. Go ahead and do it ...
Au ungeanza kwa kumrekodi ma kumtoa yeye akidai na kupokea mshiko; haki ya nani ile tuzo tutakupa wewe. Inaelekea...
Mzee ume-summarize kila kitu. I see the future ...
Tuko pamoja. Mwanzo mgumu lakini wataelewa tu ...
Hahaha utamaduni hujengwa na watu wenyewe. Ukikubali kuchangia ujue unasaidia kuuendeleza utamaduni. Usimlaumu yeyote bali we mwenyewe.
Jisemee mwenyewe. Sema "siwezi kukwepa"...
Nimecheka mpaka mbavu zikauma.
Yaani baada ya DECI watu bado hawajaelimika tu.
Ama kweli wajinga ndio waliwao.
Hata kwenye kamusi, mafanikio haiji kabla ya kazi.
Matatizo ya kila mtu kusoma HKL kavu. Ingekuwa ni uamuzi wangu, kila mtu angezoma hesabu na fizikia kwa lazima; angalau kiduchu tu.
Angalau basi tungekuwa wasikivu kidogo tu tujifunze-funze.
Huwezi jua lakini, pengine kuna maana tofauti tofauti za "fuel consumption".
Unamnunulia nani kaka? hujawahi kuniambia umeoa bwana lol ... ila u r right huu usafiri wetu unakera mimi mwenyewe unaanza kunishinda.
Jaribu kumsemesha mshkaji, ila kuna mdada hapa alikua anaomba kwa 7.2, jamaa akamrudisha nazo. Kwa upande mwingine, sijawahi ku-test negotiation skills zako...
Kuna jirani yangu hapa anauza hii gari, nikadhani pengine yaweza kuwa ni dili nzuri kwa wana JF.
Mwaka: 2000
Imeingia Bongo: July 2009
Odometer: 86,000km
1500cc
Bei: 7.5m (non-negotiable)
Contact: 0713-363534
Kwa maswali zaidi mcheki mshkaji mwenyewe kwenye simu hiyo.
Nilishakutana na case kama hiyo, na hata ku-format ilikuwa inagoma. Ukifikia umeamua kuzitosa hizo data, na ukijaribu ku-format pia ikashindikana, fuata ushauri huu:
- Disconnect Hard-drives za computer yako
- Boot computer kwa kutumia Windows XP CD (Sijajaribu CS ya Vista)
- Fuata instructions...
Matanzania wa kawaida haendi sokoni kununua maji.
Mtanzania wa kawaida anaenda sokoni kununua nyanya, vitunguu, mchele, etc.
Mtanzania wa kawaida si mjinga. Kama Supper Market mchele ni bei rahisi, watafurika hapo in no time. Kama nyanya zingekuwa bei rahisi SM, wangekwenda sana tu...
And it looks like ukishaandika barua na kuipeleka physically, inabidi upige simu tena kufuatilia hiyo barua. Na ukipiga simu inabidi utoe tena maelezo yote uliyoandika kwenye barua, wayaelewe, halafu ndio waitafute barua. Inakufanya ushindwe kuelewa mantiki ya kuandika hiyo barua in the first...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.