THURSDAY, DECEMBER 13, 2012
ODM Kenya yamkingia kifua
Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli
Kwa ufupi
Chadema pia kilimtaka Rais Jakaya Kikwete atolee kauli hatua hiyo ya waziri wake, vinginevyo nchi itakuwa na uhusiano mbaya na Kenya, endapo Raila hatachaguliwa kuwa Rais.
Akizungumza na...
Tuwakumbushe mawakala wetu kurekodi serial numbers za fomu za kupigia kura zilizopo kwenye kituo kabla yakuanza zoezi la kupiga kura.hili litaweza kudhibiti.goli la mkono kutoka nje ya kituo.
Mwanakijiji na wenzake,walichokitaka ni kuwa vyama hivi vinabakia kuwa pressure group.lakini walipostuka wakakuta tayari Gia ishabadilishwa angani.wanachotakiwa kwa sasa ni kusubiri maumivu ya okt.25.kama ni karamu tayari imeshaliwa.
Hi inanikumbusha story moja ya wanyamwezi waliokuwa ndani ya bus wakitoka Bukene kwenda Tbr mjini katikati ya safari bus likazimika.Dreva kwa sababu anajua mapungufu ya bus lake akawaomba abiria wake washuke ili wakalisukume liwake.kwa mshangao mkubwa abiria wote waligoma kushuka na kwa sauti...
Ukweli mnaujua umati unaompenda na kumfatilia Lowassa hauna kabila wala dini wala ukanda Bali wana adui mmoja tu CCM na mfumo wake,wala hawana uadui na Magufuli wala Samia wala Kikwete wala shein.wana uchungu na nchi yao inavyoendeshwa kihuni.wanataka kufanya mabadiliko kwa mikono yao wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.