habari wanabodi,Napenda nirudie tena kauli yangu sijawahi kushuhudia upinzani wa hovyo duniani kama upinzani wa Tanzania.Upinzani wa Tanzania ni upinzani ambao hawapendi ukweli pili hawapendi kufikiria kwanini watanzania hawawakubali wamekosea wapi au wamejikwaa wapi hali inayopelekea kushindwa...
Habari wanabodi,Ni jukumu la wananchi kupiga kura lakini sio jukumu na kinyume cha sheria kukaa karibu na vituo vya kupiga kura kwa kigezo cha kulinda kura ningependa kuwakumbusha na kuwaasa wananchi wenzangu wa kinondoni na siha kuepuka kila ulaghai unaofanywa na dj na kikundi chake cha wahuni...
Habari wakuu nimefatilia kwa karibu hali ya kisiasa na kampeni za majimbo ya siha na kinondoni kwa kifupi upinzani ule wa 2015 sijauona kabisa leo ninachoshuhudia ni uchovu mkubwa wa fikra na mawazo unaooneshwa na wanaojiita makamanda huku wagombea wao hawana utashi na uwezo mkubwa wa kuongelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.