Wanajamii
Nimekuwa nikisikia mengi sana yanaongelewa kuhusu Kisiwa cha Iwawa Nchini Rwanda.
Usipoonekana wengi wanahisi uko Iwawa. Ukijaonekana mitaani baada ya miaka miwili au mitatu, unakuwa na tabia tofauti na wengi hukushangaa.
Swali la Udadisi: Je umewahi kusikia lolote kuhusu Kisiwa...
Wapo Celebrities wengi sana duniani. Hata hivyo ni wachache sana waliopata bahati ya kuwa Approved yaani KUTHIBITISHWA na Allien kuwa ni Wazuri wa Kiwango cha Juu isipokuwa wafuatao: (NB: Please zingatia kuwa hii ni kwa taarifa tu na wala si ubishani maana Approvals zimeshatolewa):
Na Bwana Mungu akamuumba Eva kutoka katika ubavu wa Mwanaume (Adam), naam, alikuwa ni mkamilifu. Na Mungu akaona ni kazi njema . . . .
Picha zifuatazo zinaonyesha Totoz ISO/TBS Viwango zinazoafikiana na uumbaji wa Mungu kwa maana ya Maumbo na Sura.
Hii ni kwa taarifa tu na wala si criticism...
katika kipindi cha Diary ya Lady JD; Linah na Barnaba walionyeshwa mbele ya Camera wakithibitisha watashiriki katika show hiyo. Hiyo ilikuwa baada ya kulipwa advance.
Habari zaidi: Leotainment TZ: Mkanganyiko! Barnaba na Linah wathibisha kuwepo kwenye show ya Jide kupitia Diary ya Lady JayDee...
Kazi ya Mungu haina Makosa. Alipomaliza Uumbaji vitabu vitakatifu vinasema: "Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana".
Je alitumia Formula gani au hesabu gani Kumwuumba Mwanadamu na hasa Hawa/Eve ambaye yeye alitolewa kutoka katika ubavu wa Adam?
Sayansi ya leo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.