Mwenye chake Mpe natumia xiaom ambayo ipo no 5 duniani simu safi kabisa ina mwaka ninayo, Huawei ni Nzuri pia ndio maana ipo no 3 chini ya Samsung na Apple, sasa huyu tecno hata no 20 tu hayupo
Huawei unalinganisha na uchafu tecno na ndugu zake itel kampuni namba 3 duniani unaifananisha na kikampuni cha 100 huko halijulikani [emoji134] [emoji134] [emoji134]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.