Mkuu MKJJ-
Mtu yeyote anayetaja SERA zake kuwa nizile za CCM ambao ndizo zimepelekea nchi kufikia ilipo ni wa kuogopwa tu. Inajulikana wazi kwamba sera zilizotufikisha tulipo haziwezi na hazitaweza kututoa! Period. Angejitokeza mkweli akazinadi SERA zake kwetu tukazitafakari na kutofautisha na...
... Germany mi broda!
Kama ni issues za South-South cooperation si tuuziane tu korosho, curry powder nk? Haya mengine ya teknolojia tuwafikirie waliobobea katika masuala husika na sio INNOVATORS!
Ukabila, ukabila, Ubaguzi!
Mahitaji ya UONGOZI ya Tanzania ya leo ni zaidi ya vigezo vya zamani zile miaka ya SITINI!
Pamoja na busara na hekima za Mwalimu (RIP) tuchanganye na zetu pia jamani. Haya ya ushabiki yasiwaponze mlale mlango nje. Atapenyeza mpuuzi ndani ya nyumba na baada ya hapo ni...
Picha haiko sawa?
Baada ya kupigika na kudanganywa sana, hususan baadhi yetu, itawezekanaje wote tudanganyike? Yaani, Watanzania wote tudanganyike mda wote?
Nasema hivi kwa vile maigizo yanayoendelea ni kama pre-emptive efforts za ku-dilute agenda ya wapinzani kwa kutumia lugha ya...
... unanikumbusha vituko vya chapombe mwingine Boris Yeltsin hususan siku ile alipomhenyesha mwenyeji wake uwanjani Dublin, Ireland kwa masaa hadi pombe ilipoisha kichwani ndo akaweza kushuka toka kwenye dege. mambo ya vodka hayo toka Moscow hadi Dublin.
Unaposhangaa ya Mako, kumbuka ya Yeltsin!
Mojawapo ya kamba walizofungwa jirani zetu wa Kenya katika kampeni za uchaguzi mkuu uliompa Uhuru kiti cha urais ni pamoja na wapiga kura kuaminishwa ati wamchague Rais mwenye mihela yake ili nchi iondokane na tatizo la ufisadi uliokithiri.
Kinyume na matarajio yao, tatizo la ufisadi limebaki...
Mojawapo ya kamba walizofungwa jirani zetu wa Kenya katika kampeni za uchaguzi mkuu uliompa Uhuru kiti cha urais ni pamoja na wapiga kura kuaminishwa ati wamchague Rais mwenye mihela yake ili nchi iondokane na tatizo la ufisadi uliokithiri.
Kinyume na matarajio yao, tatizo la ufisadi limebaki...
Ee bana eh, sheria mpya ya habari na matumizi ya takwimu haimbani?? Ngoma inogile!!! Rais htatoka kaskazini, hata mjomba angu anjua nani atakua Rais 2015!
Nchi ya majungu sana, uzaireshaji umefanikiwa sana.
... usisahau na hii, Tanzania was FOUND????. Naibu Waziri, tena Wizara ya ELIMU. halafu mnamwonea sana huyu. Imagine bi Ghasiye anazungumza hii lugha ya watu kjujibu swali kiingereza, na hapo pembeni yupo Bi. Sembe akimsahihisha. Very original comedy! I love is my country.
Na hapo muulizaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.