hongera sana mh. Mwakyembe. Jemedari wa wana kyela. Nenda kafanye kazi kwa bidii zaidi na kwa bahati nzuri vimeongezeka vichwa vikali zaidi toka chadema hope mtashirikiana vyema.
waache wazidi kumtangaza Yesu kwani kwa jinsi wanavyomuhubiri na watu wengi wanakuwa wanataka kumjua huyu yesu ni nani hasa. so wanamtangaza bila wao kujijua.
Ni kweli kabisa Veracity, wanaume tumezidi sana, hatupitwi na kitu.sijui tunaelekea wapi. kuna jamaa mmoja anafanyakazi shirika fulani ambalo linajihushisha na mambo ya ukimwi ni mchafu hadi basi, mke wake amemuacha mkoa mwingine, basi yeye kazi yake ni kila siku kubadilisha ma barmaid hadi...
Kwa kweli TBL wanachofanya sio haki kabisa, wanaweweseka baada ya kuona serengeti bia wapo juu na bia yao ni nzuri sana. pia wamejaribu kuiga Vilta Malta kwani wao kabla walikuwa na malta guiness lakini ilikuwa mbaya sana now wamebadili kuiga Vilta malta.
TBL wajue kuwa biashara ni ushindani...
The First National Training of Male Circumcision Providers is being held at the Primary Health Care Institute in Iringa Town. Since 2006, the Ministry of Health and Social Welfare has been studying the benefits of male circumcision and this training is a major step towards improved male...
Kweli mzee anazeeka vibaya sana, eti anasema dini inaleta ubinafsi anavyodai yeye eti kwa sababu kila mtu ana dini yake so muda wa kwenda kusali/kuswali ukifika kila mtu anaenda kwenye dhehebu lake. kweli kazi ipo.
Baadhi ya vyuo ambavyo unaweza kujiunga navyo ukiwa umesoma NCC EDUCATION
University of Gloucestershire
University of Warwick
Anglia Ruskin University
Oxford Brookes University
London Metropolitan University
University of Abertay, Dundee
University of Gloucestershire
University of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.