Huyu sio mpiga picha. Atakuwa ni mjumbe wa kikao katumia Tecno yake kwa kumbukumbu zake binafsi.Lakini kwa bahati mbaya picha lime lick na kukufikia wewe ndugu mtazamaji makini.
Leo nimepata wasaa wa kusafiri na ATCL kutokea Mbeya na nikaonana na senior staff mmoja Songwe na kumuuliza tatizo ni nini ndege kubwa zisije Mbeya?.Majibu ni kwamba barabara ya uwanja wa Mbeya imechimbika na hivyo ndege kubwa kushindwa kutua.AaNilipouliza mbona fj alikuwa anatua..anasema naye...
Baada ya ndege za Fast jet kusitisha biashara ya kutua na kuruka katika uwanja wa Ndege wa Songwe Mbeya, kumekuwa na tatizo kubwa la usafiri wa anga.
ATCL wamekuwa wakifanya kazi kwa ndege moja ambayo asilimia kubwa wa wasafiri wanakosa fursa ya kutumia usafiri huu na hivyo kuona wakipata...
Magufuli hoyeeeee.....!!!!.Ukitaka nchi isonge mbele kiuchumi, panga kufanya kazi kwa bidii zote,zalisha,uza,wekeza at family or personal level. Hakuna atakayekuondolea umaskini ukiwa kijiweni unapiga kahawa.Chagueni Magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.