Hii nchi watu hawana akili,wanazo za kuvukia barabara tu. Yaani unatoa maji kisimani na kwenda kumwaga Baharini.
Nani kawachawia hawa mama zetu? UNAMCHANGIA MTU ANAEVAA SAA YA MAMILION ,KWA SAA YAKE ANACHUKUA FORM KIBAO YAANI. PUMBAFU ZAO KABISA HAO WAMAMA.
Ni ngumu sana,kwani mwandiko mtu si anaweza badili .Any kisheria ni haiwezekani kudhibitisha,labda kama msimamizi siku ya mtihani angeshtuka na kumkamata huyo Kulwa/Dotto. Otherwise hakuna case.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.