Search results

  1. S

    KASHFA WIZARA YA ELIMU:Wanafunzi kumi bora wapewa zawadi hewa

    Wapi Mulugo asingekubali utapeli wa kiasi hicho
  2. S

    Dkt. Ghalibu Bilal agawa zawadi hewa kwa wanafunzi Bora

    Wamelikoroga lakini neno uwajibilkaji halipo tena vinginevyo Waziri na Katibu Mkuu wake walipaswa wawe wameachia ngazi
  3. S

    KASHFA WIZARA YA ELIMU:Wanafunzi kumi bora wapewa zawadi hewa

    Wakati wabunge wakiijia juu Wizara ya Elimu na Mafunzo kutokana na kuwepo kwa hali ya kuporomoka kwa kiwango cha elimu nchini, kashfa ya aina yake imeibuka ikihusisha wizara hiyo kumtumia Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal kuwapa zawadi hewa wanafunzi 10 bora wa mwaka jana. Taarifa zilizozifikia...
  4. S

    Dkt. Ghalibu Bilal agawa zawadi hewa kwa wanafunzi Bora

    Wakati wabunge wakiijia juu Wizara ya Elimu na Mafunzo kutokana na kuwepo kwa hali ya kuporomoka kwa kiwango cha elimu nchini, kashfa ya aina yake imeibuka ikihusisha wizara hiyo kumtumia Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal kuwapa zawadi hewa wanafunzi 10 bora wa mwaka jana. Taarifa zilizozifikia...
  5. S

    Madawa ya Kulevya: Mtanzania akamatwa na cocaine Msumbiji akitokea Brazil

    Hii habari ya watanzania kukamatwa na madawa ya kulevya hadi lini jamani?
  6. S

    CCM: Joshua Nassari hajawahi chimba hata tundu la CHOO Meru

    Kwani kazi yake ni kuchimba matundu ya vyoo?
  7. S

    maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wahitimu waliomaliza kidato cha sita2014

    Hivi hakuna uhusiano kati ya jinsi mwanafunzi alivyofaulu na maombi ya mkopo?
  8. S

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014: DIV I point 3-7

    Serikali imetoa mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaonesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo tarehe 21/05/2014 watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama zilizotumika Kidato cha Nne 2014 zenye A, B+ C, D, E na F. Tofauti na miaka iliyopita E itamaanisha kufeli na siyo...
  9. S

    Mwongozo wa Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha sita 2014 na Kidato cha Nne 2014

    Katika kupitia tovuti ya NECTA nimekutana na huo mwongozo wa viwango vya ufaulu ambao unaoinesha kuwa Kidato cha sita waliomaliza mtihani wao leo watapangiwa matokeo kwa kutumia mfumo wa alama zilizotumika Kidato cha Nne 2014 zenye A, B+ C, D, E na F. Tofauti na miaka iliyopita E itamaanisha...
  10. S

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    Jamani naomba mnijuze huu upangaji wa madaraja ukoje naona mwenye pointi chache ametaga yai pointi nyingi zaidi Div IV
  11. S

    Kauli za kisiasa zisizotimilika zaikumba wizara ya elimu

    Nadhani kauli tunayopaswa kuiamini ni ya Naibu Waziri Jenister Mhagama maana Katibu Mkuu wa Elimu Profesa Mchome ni mtu wa kujisemea tu bila kuangalia uhalisia na ndiyo maana mambo yake ya Div V yalitenguliwa bungeni.
  12. S

    Udahili wa pamoja sekondari ni ujuha?

    Tatizo kubwa ni kuwa viongozi wakuu Wizara ya Elimu sana Shule zao binafsi kwa hiyo wamekuta na huo Mpango kwa maslahi Yao binafsi lakini ukweli ni kuwa hakuna mazingira ya kufanikisha Mpango huo maana ubora wa Shule umetofautiana sana. Kama Wizara Ina hela za kupeleka Provate schools mbona...
  13. S

    Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

    Kama iliwezekana kufuta matokeo ya Kidato cha Nne na kuyatangaza upya, hivi ni nini kitakachoshindikana kwenye elimu?
  14. S

    Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

    Sasa hiyo taarifa inaonesha jinsi viongozi wote kwenye Wizara ya Elimu walivyo MAJANGA KWA TAIFA LETU
  15. S

    Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

    Tumechoshwa na ubabaishaji katika elimu
  16. S

    Baada ya vwango vpya vya ufaulu Tanzania nchi yenye vwango vya chini vya ufaulu

    Tatizo wabunge wetu tuliowachagua wanashindwa kutuwakilisha kwenye mambo yenye maslahi kwa taifa. Walipaswa kuwa wameshavikataa hivi viwango maana lengo ni kudumaza elimu kwa kuwafurahisha wananchi kuwa watanzania wengi wamefaulu wakati wengine wanamaliza shule bila hata kujua kusoma na kuandika
  17. S

    Baada ya vwango vpya vya ufaulu tanzania nchi yenye vwango vya chini vya ufaulu duniani

    Kwani hata waziri akiamua wanaomaliza sekondari wote wapewe vyeti nani anayejali. Hata wananchi wakilalamika inakuwa ni upepo tu unaopita kwa kasi.
  18. S

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Kwa maamuzi haya ya kudidimiza elimu, Prof Mchome na Prof Bhalalusesa mtalaaniwa milele, yaani mnashindwa kuweka mikakati ya kuleta maendeleo U-Profesa wemu hapo kwenye grading ndiyo mnaona ni jibu?
  19. S

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Kika kukicha zinaundwa Tume kuhusu masuala ya elimu, je viongozi husika wanasoma taarifa au ni Business as usual. Hivi Waziri Mkuu alisoma hayo mambo aliyoandika Rakesh wakati anajitoa kwenye Tume yake iliyokuwa inaongozwa na Prof Mchome? Nimepitia barua yake ameweka hoja za msingi ambazo...
  20. S

    Joyce Ndalichako Amechemka, Ajipange!!!

    uMetiririka visuri, lakini nina wasiwasi juu ya uwezo wao wa kuelewa na kutokana na kutokuwa na uwezo wataendelea kulalamika kama ambavyo mwalimu wako Saidi Mtanda anavyofanya
Back
Top Bottom