Habari wanajamvi. Penye wengi hapakosi neno. Nimepata hiyo meseji hapo chini kutoka NMB.
NAOMBA YEYOTE ANAEJUA KUHUSU HATI FUNGANI, ANIPE DARASA KIDOGO.
Ndugu Mteja, faidika na gawio la 9.5% kila baada ya miezi 3 kwa kununua hati fungani (Jamii Bond) kupitia benki ya NMB. Dirisha litafungwa...
Kuna Mwana jf mmoja aliwahi Sema hata Diamond sio halisi, ni cloned, akasema angeleta chapisho lake. ILa sikumbuki anatuma ID gani.
Je, is Diamond cloned?
Natamani hii Mada iendelee nizidi kujifunza. Kuna nguvu fulani ninayo huwa nashindwa kuielezea kinaga ubaga. Naweza Pata wazo au jambo yaani linakuja ghafla, kama ni kitu kibaya nikakikemea huwa hakitokei, ila nikipuuza huwa kinatokea. Jambo hili huwa linabitatiza Sana kwa kweli. NA pia kama ni...
Kuna dogo alienda matenity. Baada ya hapo kazi ikawa imeisha, yaani ule mradi ulifungwa. Sasa ni mwaka mmoja hana kazi, je anaweza kwenda NSSF kudai haki zake?
Naomba ushauri na maoni yenu tafadhali.
Alikuwa ni nurse kwenye miradi ya Ukimwi alifanya kazi nia Jphego
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.