Dada mmoja kaniomba niulize kwamba katumia dawa za misoprostol tatu akameza na moja akaweka uken ili kutoa mimba lakini baadaye akatapika je dawa itafanya kazi? Na kama haitafanya arudie zoezi la kutoa kwa muda gani?
Tafadhali naomba msaada wenu ndugu zangu.
Dada mmoja kaniomba nikuulize doctor kwamba katumia dawa za misoprostol tatu akameza na moja akaweka uken ili kutoa mimba lakini baadaye akatapika je dawa itafanya kazi? Na kama haitafanya arudie zoezi la kutoa kwa muda gani? Tafadhali naomba msaada wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.