Tumsifu Yesu Kristu,
Haina shida, parokia yoyote ambayo ulibatizwa rekodi halisi za watu waliobatizwa hapo miaka yote hiyo parokia ipo hai zinakuwepo.
Cha kufanya, tafuta parokia uliyobatizwa, mwaka na mwezi uliobatizwa, majina ya wazazi wako na mtu aliyekusimamia ubatizo pamoja na majina yako...
lazima tutaheshimiana tu...na bado Kigali-Isaka hapo October. Na pia bado phase III na Phase four na five (Makutupora-Tabora, Tabora-Isaka na Isaka-Mwanza.
Uzalishwaji wa umeme kwa taifa saizi unasimama katika Megawati 1732 wakati mahitaji au demand ni 1500.
Mradi wa kizalisha umeme uliopo Kinyerezi, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam kwa kutumia gesi kutoka Madimba, Mtwara unazalisha/utazalisha kama ifuatavyo:-
1. Awamu ya kwanza. Awamu hii...
huku tunazindua tu...na hivi mwakani Bwawa la umeme katika Massive Rufiji and Kilombero river litaanza kujengwa 2100 MW...ukiongeza na gas kwa kumaliza Kinyerezi yote hadi Phase four...mbna treni itatambaa hadi mwanza, kigoma na Rwanda bila shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.