Dawa ya tatizo ni kulitatua siyo kukimbia umeona Kenya wiki inaenda ya tano walimu wamegoma mpaka shule za government zimefungwa kwahyo hata Tanzania walimu wakiamua wanaweza hakuna kisichowezekana chini ya jua
Mmmmh unafkiri kwanini mzee pale juu picha ya kwanza amenuna?anajua kuwa kuna tatizo naona nywele nyeupe anaanza kumsogelea jamaa ili kuangalia upepo kama atawekwa kwenye majina ya wagombea duh ama kazi kwelikweli
Cdm haihitaji kupewa promo mana ni chaguo la watu kwahyo usifikiri Cdm inahitaj kujtangaza watu wanayo kwenye mioyo yao wanasubiri 2015 wajue nini cha kufanya wewe nenda lumumba wambie jamaa wamegoma naomba 3500 badala ya 7 maana upepo mbaya
Mtu ukiwa kimya muda mrefu ukrudi tunategemea uje na mambo mapya na yenye maana sasa wewe ulikimbia jukwaa umerudi kwa pumba hiyo?duh viongozi wa ccm majanga kama huyu naye ni katibu wa itikadi duu amakweli
Majitu majinga humu sasa wakuipa kura dodoma moro ni nani kama siyo wananchi wenye kutaka mabadiliko?arusha wameonyesha njia na wengne waige mfano huo maeneo waliyoko ili Cdm ipate ushindi kote
Changes ni mimi na wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.