Hivi huyu hayumo kwenye orodha ya kwenda JKT??? kama hayumo kwenye list nilitamani kweli awepo tena batch hii ya kwanza. Angalau akikaa wiki tatu anaweza kurudi kichwani zikiwemo kidogo.
Hivi we mama uliyetupa huyo mtoto roho haikuumi? Siku akiwa maarufu ndio unajitokeza eti mi ndio mama yako?? kudadeki nakutoa nduki. Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema naamini atamkuza tu.
Nakumbuka wakati wa uchaguzi wa 2010 askari waliokuwa wanalinda kura kituo cha loyola, Mnyika aliwaambia kuwa anajua kuwa wanalinda maslahi ya wakubwa lakini atakaposhinda na kuwa ubunge atahakikisha anapiginia haki zao Hebu kama askari mpo humu mkumbusheni ahadi yake.
Tu hodari wakubwa wa kulalamika, lakini inapofikia kipindi cha kufanya mabadiliko sijui tunakuwa usingizini? nakumbuka "wafanyakazi tuliambiwa na JK sihitaji kura zenu" tulifanya maamuzi gani kwenye chumba cha kupigia kura??
Imenikuta juzi pale Regency Hospital namweleza daktari jinsi navyoumwa, mwisho akaishia kuandika kwenye file yangu eti "nilikuwa na hamu ya kutalii hospitali" kha! nimegundua hiyo baada ya kwenda kwa dr mwingine alipoamua kufanya marejeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.