Wewe mbona unatokwa na povu sana si umesema huna chama povu la nini sasa tatizo la wafuasi wa CDM wengi ni watu wakupelekeshwa na Mbowe pamoja na Lowassa, mlipiga deki barabara, mnamchukia sana Mzee Bakhresa kutokana na dini yake.
Hawa Wachungaji mbona Kesi za Uharamia na Wizi Zinawaandama namna hii?
Wale wa ESCROW walioiba Bilioni kadhaa Hawajapoa anatokea huyu Mwingine.
Dah...
Au hii ni km Utamaduni wao?
Dunia imeshavurugika kupita kiasi.
Wacha achukue Hio nafasi tumalizane kabisa.
Anapiga mkwala Mexican wasiingie wakati kuna Mexicans zaidi ya populationa ya Tz huko US!
Hii ganja anayopuliza ntamuomba sampo na mimi niijaribu.
Paulo ni mwanaadamu na wakorinto wote wanafuata mafunzo yake yote yakiwemo ya kulewa na kula Nyamafu za nguruwe. Mbona wengine wasio wakorinto na waefeso hawakatazi?
Wagalatia Mtapata ugonjwa wa Moyo kwa Chuki zenu.
Kila mkiongeza Chokochoko Uislamu Nao unazidi Kusambaa Duniani.
Huku Ulaya Makanisa yamebaki matupu kwa Chuki hizi. Na nyie waafrika endeleeni tu. Mtakuja tahamaki Dada zenu na mama zenu wote wanavaa Hijab na Kusali sala Tano. Na zile Kwaya zenu...
Na Wagalatia Kufutia matokeo waislamu na kuwabana ktk kila nyanja za elimu mnaona Ujanja sana au sio?
Sasa toka mmeanza kufanya hivyo mbona Uislamu unazidi kushamiri tu?
Au hizo degree zenu za kipaimara hamkuzisoma Vizuri.!
Mnfnssssssssss!
Makatonta ovyo sana.
Teh teh teh.
Sasa unataka Nguruwe auliwe vipi wakati hana Shingo? Huyu mnyama bila nyundo ya kilo 20 hafi.
Ndio maana Dini ZOTE ZIKAMFANYA HARAMU. lkn Watu wabishi tu.
Walikukosa kosa nini?
Teh teh teh teh.
We endelea tu na Ulokole wako.
Huko hakufai? Utakuja fanyiwa mambo mabaya ulaani Kusini yote wakati Rais wako wa awamu ya tatu katokea huko huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.