50*50 TPDF!? You must be kidding.... Tuache siasa kwenye mambo nyeti. Wanawake tangu kale hatuwategemei kuwepo mstari wa mbele kwenye mapambano. Ni nature tu! Basi!
Huyu bwana ameiharibu tasnia ya habari. Kwa sababu ya uroho wake na kutojiamini amewanunua karibu wahariri wote. Pc kubwa ya waandishi 'matajiri' ni 'wake' wa Ngoyai! Lowasa ni dude la kuogopwa kama ukoma hafai!
Chadema wataendelea kupoteza mvuto miongoni mwa waungwana kama wataendelea kuhubiri fujo na misuli kwa polisi. Kitabaki kushabikiwa na wahuni, wezi na wanywa viroba! Kitendo chochote cha kubishana na dola hakikubaliki kwa mtu yeyote hata ukiwa 'mwandishi wa habari'
Matokeo ya kura Scotland yanawafunga mdomo wale wanaohubiri Zbz kujitenga. Wananchi wawe macho na watu wanaoeneza ubaguzi kwani Tz bara na Zb ni ndugu. Viongozi kama yule aliyemwita Keissy 'mwarabu' hafai hata kuwa katibu kata. Ni ujinga kumhukumu mtu kwa rangi, dini, eneo au haiba yake. Hongera...
Inauma mimi nimesoma diploma ya journalism toka 'London School of Journalism' kwa njia ya masafa. Nimetumia miezi.9 kumaliza lakini NACTE wamei.grade kama 'certificate' chuo gani watanipokea hapa bongo. I'm confused!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.