siasa za ushindani za Chadema na CCM zimechangia sana kuichafua TISS. Hii ni kwa sababu chadema hawataki kukubari kwamba wanashindana kisiasa bali kuna mkono wa TISS unaowafanya wasiingie Ikulu. Fikra hii hata kama sio kweli inaaminika sana miongoni mwa wafuasi wa chadema na ndio wepesi...
hata marekani si CIA peke yake kuna vyombo vya ulinzi kadhaa ni makosa kuiachia TISS kwamba itafanya maajabu bila vyombo vingine. tukumbuke TISS sio Jeshi la polisi, sio Uhamiaji, si TRA si BOT bila ushirikiano na kuwajibika kwa kila taasisi ni sawa na kukosa mwelekeo. wahalifu wanatucheka...
Tazama nguvu za Rostam zimeanza kuiogofya jamiiforums kwa story za kutunga. Hakika ndio maana mnasema RA ana akili kumbe sisi ndio hatuna akili. bado hamjaona thread imezama zaidi kwa RA ili tutambue nguvu yake, na kisha tumwogope.
thread inaonyesha kwamba Rostam Aziz yuko kwenye mtandao wa RO na Apson wa kumng'oa JK katika part I yake kwa maana hiyo Rostam ni agent wa TISS kama kweli yuko kwenye mtandao mmoja na viongozi wakuu hao wa TISS lakini part II inasema Rostam tena ni agent wa CIA. CIA na TISS ni partinners...
kumbe ni rahisi hivyo kuwa CIA agent? I can't believe Rostam huu ni uongo mwingine wa mwaka huu wa kututumia vitisho kutoka kwa RA. hatutarudi nyuma mapambano bado yanaendelea.
natamani kukuchapa viboko 12 ukamwonyeshe yule unayelala naye kitanda kimoja. Ukamwambie umepigwa kwa sababu ya kejeri zako kwa mkuu wa nchi. waliokutuma wanaitamani Ikulu kawaambie watabweka sana Jk ndiye huyo Rais wao.
wewe mwenyewe ni TISS kwa ajili ya ulinzi wa nchi yako ukisubiri TISS walioajiriwa rasmi kuna siku utajuta pale utakapokuwa umeuzwa kwa senti tano. Ulinzi wa nchi ni wa kila mmoja wetu.
Sijamsikia bingwa wa sheria mabere marando yuko wapi? pamoja na Fredie Mpendazoe, na Acardo Ntagazwa au wamewa-shibuda. hata katika kamati ya kwenda kumuona Rais wamewekwa pembeni.
Vivyo hivyo, nilitegemea Kitila Mkumbo angekuwa miongoni mwa wanakamati saba walioteuliwa kumuona Rais kwani ni...
kwenye cha waliofukuzwa ni pamoja na Rais Aboud Jumbe, maalim seif shariff Hamad, oscar kambona, lakini serikalini inayoongozwa na ccm waliofukuzwa ni wengi zaidi, kama Lowassa, Mbilinyi, Iddi simba, msabaha, karamagi na wengine
chadema ni kama hamna akili mnasema ccm wote sio wasafi lakini mnaandika barua ya kuzungumza na wachafu. Jk alishasema msimamo wake mnakwenda kuonana naye kwa lipi jipya?
kama ana udhaifu huo mmeomba kwenda Ikulu kutafuta nini basi mtakuwa wanafiki wakubwa kuliko JK. Mnakwenda kujadili maslahi gani ya taifa na JK? Bora tu mungeendelea na maandamano yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.