Ndugu zanguni Wana-JF, nawapeni pole sana kwa majanga yanayowaandama wapenda haki wa nchi hii na wale wote wanaofanya bidii kuuweka uovu wa nchi hii wazi mbele ya wale wasiojua kinachoendelea.
Binafsi napenda kutoa pole kwa familia ya Kibanda pamoja na familia za wengine wote waliowahi...
Kwa haya yote yaliyotokea tangu jana sidhani kama kuna mwenye furaha ya kweli moyoni mwake leo, labda watu kama Maige, Nundu, Maige, Ngeleja na wengineo ambao waliponea tundu la simba siku ya jana. Kwa wengine wote wenye uchungu na Taifa hili naamini leo hawana raha kabisa na kwa vyovyote...
Nahisi hasira za Wadanganyika hazijatosha kabisa, nilihisi zimefikia kiasi cha kufanya jambo lakini kwa hili nimegundua bado kabisa. Nasema hivi kwasababu sikutegemea kabisa kwa ufuska wote huu uliofanywa na Serikali hii kwa rasilimali za Taifa hili na uliosemwa wazi na wabunge JK akalikalia...
Wakuu samahanini sijatokea kwa siku kadhaa lakini naomba nitokee kwa haka ka-swali kangu, nimekauliza kwa kuwa kuna watu wengi humu naona sasa wanamtetea JK kwamba ni safi sana sasa.
Mimi naona Mkapa alijitahidi sana alipopokea nchi maana ilimbidi kwanza kuweka utaratibu kwenye mstari maana...
Wakuu Samahanini nilipotea kwa muda kwenye kutafuta katika hali yetu ya kawaida. Nimerudi na naomba mniruhusu kuendelea kuchangia, yangu leo machache.
Hivi ni kweli huyu ajulikanaye kama Mheshimiwa Captain Kamanda Mkuchika ndiye Waziri wetu wa Habari tunayemtegemea? Nimemshangaa kwa muda maana...
Wakuu Samahanini nilipotea kwa muda kwenye kutafuta katika hali yetu ya kawaida. Nimerudi na naomba mniruhusu kuendelea kuchangia, yangu leo machache.
Hivi ni kweli huyu ajulikanaye kama Mheshimiwa Captain Kamanda Mkuchika ndiye Waziri wetu wa Habari tunayemtegemea? Nimemshangaa kwa muda maana...
Nimerudi tena baada ya kutoka kwa muda waungwana wa jumuiya hii. Naombeni kuja na hoja yangu ambayo nadhani kwa mawazo yangu mtindi inaweza kuleta mabadiliko makubwa ama inaweza kuwatia hamasa viongozi.
Kwa muda sasa kumekuwa na mabishano makubwa na kutokuelewana kwa sehemu kubwa kati ya...
Nani bora kati ya JK au Mkapa aliyekoroma tukanyamaza ingawa "underground" alifanya ubaradhuli?
Nauliza hivi kwasababu JK kama ni rubani basi keshatoka nje ya ndege na sisi hatuna habari. Kama yupo bado kwenye ndege yetu basi tusijiaminishe na safari yetu maana rubani wetu anashinda chooni...
Nimetatizika sana kuhusu mamlaka ya polisi wetu n uwajibikaji wao, naomba wanasheria watushauri kidogo sehemu hii. Je, kuna uwezekano wowote wa kuanzisha kitengo cha polisi jamii kitachofanya kazi huenda kama ya kuwahoji watuhumiwa na kuleta habari zisizokinzana kwa umma kuhusu matukio?
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.