Search results

  1. Dotto C. Rangimoto

    Tamthilia ya Kichina 'DODOU NA MAMA WAKWE ZAKE'

    A Beautiful Daughter-in-law Era
  2. Dotto C. Rangimoto

    Honourable Bernard Kamilius Membe, former Minister for Foreign Affairs and International Cooperation of the United Republic of Tanzania

    Huyu ndio Membe: Kachero, mwanadiplomasia nguri na mwanasiasa anayempa tumbo joto Magufuli.
  3. Dotto C. Rangimoto

    Mbowe aseme "yatosha na aje mwengine kukalia kiti"

    Sababu kwa kiasi fulani tunaitegemea kututoa kwenye shimo na kutufikisha mahala, ila tunapenda iwe nadhifu zaidi ili tumaini letu lisiwe bure. Si TLP kwasababu hatuitumaini.
  4. Dotto C. Rangimoto

    Mbowe aseme "yatosha na aje mwengine kukalia kiti"

    Uchaguzi wa ngazi ya taifa ndani ya CHADEMA umeshabisha hodi. Hodi hiyo watoa paruwanja vijana 10,000 wa CHADEMA hadi sasa wameshasaini waraka wa kumtaka Mbowe agombee uenyekiti wa CHADEMA. Aidha vijana hao wanataka kuchanga fedha kwa ajili ya kumchukulia fomu bwana Mbowe. Hili si jambo zuri kwa...
  5. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    MOSI. Kwenye 3 yako na ndipo ilipo hoja yangu. Kwanini wasema serikali isitumie njia za kimafia?? wataka kutuaminisha kuwa serikali ndiyo imefanya hayo kwa Mdude?? Hoja yako ya hiyo ya kudhani serikali ina mkono wake ndiyo msingi wa UZI wangu. Nimefafanuwa vizuri, tusikimbilie serikali ikiwa...
  6. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Katika hoja yangu nimetoa indhari, ya kwamba tusikimbilie serikali au vyombo vya dola kuvituhumu kwa utekaji huu. Kikwete aliyeitwa Mzukule ni Mwenyekiti mstaafu wa CCM, chama ambacho kina mamilioni ya wanachama. Alikuwa Rais kwa awamu mbili na alichaguliwa kwa mamilioni ya kura, ana watoto...
  7. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Rejea hoja yangu ya msingi, nimesema upo uwezekano huo na ndio maana nikasema jeshi la polis wachunguze hivi vikosi vya vyama kama vile green guard na red brigade, huenda kwa namna moja au nyingine wakawa wanahusika.
  8. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Si dawa yake lakini haimaanishi kuwa watu wenye kujichukulia sheria mkononi hawapo na kwa msingi huo kwanini tusiwaepuke hao watu kwa kuacha kutukana badala yake tujadili masuala?? mfano suala la gharama kubwa katika msafara wa Rais hivi hatuwezi kweli kulijadili pasina kutumia neno Jini...
  9. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Na mimi nimetahadharisha tu. Huko kutekwa na utesaji ni ajabu sana kuisingizia POLIS au TISS, ikiwa CCM ina mamilioni ya wanachama na Magufuli kapigiwa kura na mamilioni ya watu, sasa jiulize watu hawa wote wanaridhika na matusi ya Mdude kwa mwenyekiti wao au kwa mtu waliyemchagua kuwa Rais...
  10. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Na ndipo nikasema, Kikwete kuna watu wengi wanampenda hata sasa, alkadhalika na Magufuli wapo watu wengi wanampenda. Sasa hawa watu kweli wote wanavumilia matusi haya kwa wapendwa wao?? Kwanini tunakimbilia kuishutumu TISS na Polis tu bila kuwaza uwezekano wa kuwapo wafuasi, wapenzi na mashabiki...
  11. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    soma huo mchango wako kisha rejea hoja yangu msingi, pengine utaona ni kwa namna gani uko kabisa nje ya hoja.
  12. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Soma kisha jenga hoja, kama huwezi kusoma na kuelewa pia jitanibu na kujibu hoja.
  13. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Japokuwa si awamu hii, lakini Tesha alimwagiwa tindi kali, zipo nyumba za wanaCCM zilichomwa moto, na mambo kadha wa kadha.
  14. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Huenda zimeponza, na huenda wafuasi wa watu aliowatukana wameshindwa kumvumilia, na ndipo nikasema tukosoane kwa lugha ya hishima hata kama ikiwa kali.
  15. Dotto C. Rangimoto

    Mengine tunayapika wenyewe, hivyo wajibu tuyale tu

    Dhahiri katiba yatupa haki ya kukosoa, kuhoji na hata kupinga mawazo ya kiongozi yeyote ila haitupi uhuru wa kumtukana, kumkashifu na kutumia lugha ambayo ni dhahiri ya kuudhi. Tunapopinga vitendo vya utekaji, pia tupinge vitendo vya kutumia lugha za kuudhi dhidi ya wenzetu. Maana kukosoana kwa...
  16. Dotto C. Rangimoto

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    Nina kitabu changu kinaitwa "Mwanangu Rudi Nyumbani" Utakipata TPH BOOK SHOP
  17. Dotto C. Rangimoto

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    uko sahihi kabisa
  18. Dotto C. Rangimoto

    Vitu sita ambavyo si viumbe vya Mungu

    hawa watu wa flat earth wako kwenye page za Nasa wanajuwa kuliamsha dude,,,kama Gwakitombi vileee
Back
Top Bottom