Sister Sister.
Nitakufaje.
Kazi bora kabisa za muda wote from GK ft. Pauline Zongo.
Bongo Flava ya miaka Ile ilikuwa tamu sana.
Muziki wa sasa hauna 'brain' wala ladha. What went wrong kwenye tasnia hii bongo?
Long live GK, Pauline Zongo, na wana ECT wote mlioko hai todate. Mlitoa...
Kwamba umesanuka chap hako kamtego 😄. Wacha nifanye reshuffle of my strategies. Next time around lazima unase. 😎
Yes rafiki, kwakweli it has been a while without retouching our base. Unaadimika sana hapa na kuleeee 🤫.
Mie pia am doing fine and healthy. Many thanks to the almighty.
-Kaveli-
Kwamba vijana wanakosa skills za namna ya 'kuiomba' ? Wanataka muwaonee huruma?
Nawewe pia ni kama niliona uzi humu kijana analilia 'utelezi' wako. 😎
-Kaveli-
1.0 Kwahiyo kwa uwepo wa YouTube, jukwaa hili ni useless kwa watumiaji?
2.0 Badala ya kuchamba wima, kwanini usiweke hapa hizo YouTube link tutorials tuzione na ziwe msaada kwa wasomaji wengine pia?
3.0 Kwa karne hii ya 21 unashangaa nini 'mwanaJF' ku-prioritize 'JF' badala ya YouTube, kwenye...
Kwa tech gurus wote kwenye jukwaa hili, title ya uzi yahusika.
Naombeni namna ya ku-watch/download WhatsApp Video call (outgoing).
Urgently naihitaji video husika ila haipatikani kwenye storage. Naishia kuona video call 'history' tu ya tarehe husika.
N.B: Nahitaji video husika urgently for...
Mkumbushe kuwa hata 'honorary PhD' nayo pia inaitwa ni 'PhD'.
Hata hivyo, siyo kila mwenye Doctorate PhD ana mafanikio (kifikra au kiuchumi). 😎
-Kaveli-
Hobbies/preferences VS Financial capacity.
Nadhani kuna watu wana uwezo mkubwa kipesa to afford such stuffs, lakini hawana hobby navyo ama sio preference kwenye maisha yao.
-Kaveli-
Mleta mada, tafuta nyuzi humu za mkuu wa kuitwa Meneja Wa Makampuni , anazo nyuzi humu very informative kwenye issues za full funded scholarships worldwide.
-Kaveli-
"Mwanaume ni kama panya. Kila mara hutamani shimo jipya"
Kuna mwamba mmoja aliwahi sikika kwenye kilinge cha Kahawa, wananzengo wote wakaunga mkono hoja. 😎
-Kaveli-
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.