mmmmmmhhhh Arushaone i am watching you! Kuwa kwangu mjumbe wa kamati ya katiba hainizuii kuchunga mali zangu. The secretary embu panda shabiby sasa hivi uje dodoma.
The secretary nikusikie unsema tena maneno haya! Yaani mimi kukamatwa Pakistan ndo unione sifai? Kumbe mahaba niliyokupa,gari,wazazi wako niliwajengea,wadogo zako nikawapeleka ulaya kusoma,dada yako aliumwa nikampeleka India.....yaani hayo yote ni bure kisa Erickb52?
Halafu we nitonye wewe!
Halafu nasikia Judgement anamsarandia mke wangu The secretary......huyo fisadi wa malavidavi mwambie nikitoka uwanja wa mapambano juba atajua mi nnani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.