Binafsi natamani sana kusikia kufutwa kwa baadhi ya kodi mfano-Road license, ushuru wa vifaa vya hospital, ushuru wa mafuta kwa watumiaji wadogo na PAYE ki ukweli zingeleta hamasa kwa watanzania wengi.
Mandla.
Hiyo kaka haiwezekani hata kidogo
Ni hapa hapa katika wilaya inayoongoza kwa dhahabu Tanzania kama sio East Africa naona kamanda Mbowe anafanya kufuruu ya watu kwa idadi ilivyokubwa na haijawahi kutokea katika historia ya wilaya ya kahama. by the way nita post picha baadae kidogo...
nilifikiri vichaa wanapungua kumbe mpaka humu jamii forum mpo...!
Sasa na ww kwa akili yako mwl. Nyerere utamlinganisha kweli na mwinyi au mkapa na hata huyo kikwete? Ni sawa kulinganisha Messi na kuna Ngassa..
Nitakubaliana na hoja zenu mpaka tuu pale doctors watakapo cofm that ur witted....
hawana mpango mkakati wa kuinasua tanganyika as a free state like zanzibar, hawana mpango wakutupa elimu bora ila bora elimu, hawa ndio sisiem wenye akili ya sisimizi shame upon them!!§§
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.