Baada ya CHADEMA Jimbo la Ukonga kunyakua viti 10 vya serikali za mitaa uliofanyika tarehe 14.12.2014 kutoka viti 2 iliyovipata mwaka 2009, na baada ya kuunyakua mtaa wa Guluka Kwalala anakotoka Meya wa Manispaa ya Ilaa Jery Slaa, na baada ya kuunyakua mtaa wa Kigogo Fresh A mtaa wa karibu...
BAVICHA itayamis sana haya majembe ambayo hajamaliza hata miaka mitatu tangu wakabidhiwe dhamana. Washawapoteza UVCCM kwenye uwanja wa mapambano. Hongera kamanda Heche, hongera kamanda Munishi na wenzenu wote. Mmetupa uongozi bora na tunaamini watapatikana wengine wakuendeleza kazi mliyoianza
Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Deogratias Munishi amemnanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete kuwa ameidhooifisha hadhi ya ikulu kiasi kwamba hata vichaa wangependa kuwa marais wa nchi
Pia Munishi ameuambia umati wa watu wa kata ya Majohe Jimbo...
Inaelekea ulivozaliwa tu siku tatu baadae mama yako alikuangusha chini na ukadondokea kichwa na hivyo ubongo wako akaathirika mpaka leo. Pole sana ilikua ni ajali mbaya iliyokupata wakati huo na bahati mbaya mama yako hajawahi kukuadithia hili
Wakati John Mnyika Mbunge wa Ubungo na mkurugenzi wa habari na uenezi wa CHADEMA atakua akiunguruma kwenye mkutano wa hadahara utakaofanyika leo Mbezi kwa msuguri, Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Deogratias Munishi atakua akiitetemesha Ukonga eneo la Nyebulu kata ya majoe...
Mropokaji tuu. Bajeti ishapangwa na kupitishwa. Hakuna kipengele chochote kilichokuwa kikielekezwa kwenye maabara kwa shule zote za kata, vituo vya afya n.k.
Msanii anaongoza serikali ya kisanii kwa usanii
Kwenye umoja huu wa vichaa unataraji kuwepo na watu makini wa kujisimamia? Hawa wote ni kundi la wachumia tumbo na anayeweza kuwalipa basi lazima walicheze zumari lake
Unajitahidi kulazimisha mambo yasiolazimishika. Tabia chafu ya kurithishina nafasi za uongozi CHADEMA haipo kama ilivyo kwa CCM. Janauri Makamba kutoka kwa Yusuph Makamba, Ridhiwani Kikwete mtoto wa Jakaya Mrisho Kikwete .nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.